Mnada wa Jezi Tano za Simba Sport Club umefanyika. Jezi ya Rais Samia yauzwa milioni 10

Mnada wa Jezi Tano za Simba Sport Club umefanyika. Jezi ya Rais Samia yauzwa milioni 10

Nimeona mnada wa Jezi za Wekundu wa Msimbazi

Mfano

Jezi ya Rais Samia tsh 10 mil

Jezi ya Mwinyi tsh 5m

Jezi ya Dr Mpango tsh 3m

Jezi ya Dr Tulia PhD tsh 2.5m

Kibegi cha kubebea Jezi tsh 2.5m

Jezi ya Mo tsh 2m

Jezi ya Dr Kigwangala tsh ?m

Nilichoshangazwa na hawa Makolo Kibegi kimeingiaje Kwenye hiyo Orodha ya wanasiasa? 😂😂
 
Nimeona mnada wa Jezi za Wekundu wa Msimbazi

Mfano

Jezi ya Rais Samia tsh 10 mil

Jezi ya Mwinyi tsh 5m

Jezi ya Dr Mpango tsh 3m

Jezi ya Dr Tulia PhD tsh 2.5m

Kibegi cha kubebea Jezi tsh 2.5m

Jezi ya Mo tsh 2m

Jezi ya Dr Kigwangala tsh ?m

Nilichoshangazwa na hawa Makolo Kibegi kimeingiaje Kwenye hiyo Orodha ya wanasiasa? 😂😂
IMG_20230731_123631_183.jpg
 
Nimeona mnada wa Jezi za Wekundu wa Msimbazi

Mfano

Jezi ya Rais Samia tsh 10 mil

Jezi ya Mwinyi tsh 5m

Jezi ya Dr Mpango tsh 3m

Jezi ya Dr Tulia PhD tsh 2.5m

Kibegi cha kubebea Jezi tsh 2.5m

Jezi ya Mo tsh 2m

Jezi ya Dr Kigwangala tsh ?m

Nilichoshangazwa na hawa Makolo Kibegi kimeingiaje Kwenye hiyo Orodha ya wanasiasa? [emoji23][emoji23]
Huyo saa100 kwa nini asiuzwe yeye pamoja na jezi yake hata kwa 20ml
 
Kwa taarifa yako pesa hizo siyo kwa matumizi ya club..zinatolewa zote huko Muhimbili
Ha ha ha....

Wasije wakazidai kwenye mkutano mkuu.

Hiyo ni harambee ya kuchangisha pesa kwa ajili ya wahitaji
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Basi wale kwenye familia yao wenye akili ni wawili tu wataiga.
Basi wale kwenye familia yao wenye akili ni wawili tu wataiga..... Eng. Hersi na Mzee Manara...
 
Vilabu vya bongo hususani Simba na Yanga kuna ubabaishaji sana.
 
Back
Top Bottom