Hivi siku ike Dokta Shika alitoa kiingilio kwenye mnada wa nyumba za Lugumi?Exactly #Daudi Emagine watu hapo wataingia kama 1000 na kila mtu analengo la kujipatia kagari maana huwezi lipia 30000 endapo huna dhamira ya kweli./
Na hii ndio nia ya mkinga yono wasiingie hapo wabangaizaji.
Hahahaa........ Salary slip na Mrangi wamepiga kambi Yono tangu jana wanasubiria IST za dezo!
Duuu Sijawai kuona wala kusikia matajiri wana nunua vitu kwenye Minada au awakuwa matajir.GTZ Hapo Nakumbuka Masanja Aliwahi Kuja Kwenye Mnada Akakutana Na Matajiri Wa Arusha Ikawa Hatari Yaani Watu Wana Cash
Nipo viwanja vya wakala wa minada ya mahakama Yono Auction Mart, muda huu, makubaliano ni mnada uanze SAA 4 kamili.
Sasa kutokana na hali ya watu walivyo wengi na kiingilio cha elfu 30 wameamua kuvunja utaratibu kwa tamaa ya kupokea elfu 30 nyingi wameamua mpaka watu waishe mpaka sasa wamepokea kadi watu 700 za kiingilio na bado getini kuna watu wengi sana,, yaani kwa ufupi najuta kuingia kwenye mnada wa kiswahili namna hii..
Mkuu tupe mrejesho hali ya mnada inaendeleaje hapoNipo viwanja vya wakala wa minada ya mahakama Yono Auction Mart, muda huu, makubaliano ni mnada uanze SAA 4 kamili.
Sasa kutokana na hali ya watu walivyo wengi na kiingilio cha elfu 30 wameamua kuvunja utaratibu kwa tamaa ya kupokea elfu 30 nyingi wameamua mpaka watu waishe mpaka sasa wamepokea kadi watu 700 za kiingilio na bado getini kuna watu wengi sana,, yaani kwa ufupi najuta kuingia kwenye mnada wa kiswahili namna hii..
Wee jamaa ukifa bila kubeba mimba ya chadema utasononeka sana huko utakako kuwa hivi hujui kevela ni gamba mwenzio na alishakuwa mBUNGEMnada una kiingilio?
Huyo Yono Kivela lazima ni mfuasi wa Chadema!
Kwani tenda kapewa na chama? Mboe na wenzake wamepoteana toka tarehe 6.11.2015. Wapi Maalim?Ni kada mwenzenu huyo na ameshawahi kuwa mbunge huko Njombe kwa miaka mingi tu kupitia hicho chama chenu. Awamu hii iliyojaa ubaguzi wa kila aina haiwezi kutoa hiyo tenda ya udalali kwa mtu wa chadema. Maana ule msemo wa 'huyu ni mwenzetu' ndiyo umerudi sasa kama enzi zileee!