Mnadeal vipi na changamoto ya kusingiziwa unatoka na mke wa fulani wakati sio kweli ?

why ucheke na mke wa mtu na kukaa naye bar
 
Punguza kuchekacheka na wake za watu mjini watu wamechanganyikiwa saivi watakutanguliza bureee
 
Nikijuaga tu yule dada n mke wa mtu au yule binti n mwanafunzi..aiseee bac Huwa nakaa nao mbali maana hapo naepuka vitu viwili Kwa kati mmoja either kupakwa mafutaa au jela miaka 30
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wadau wamekushauri acha mazoea na huyo mama ikiwezekana badili grocery kabisa vinginevyo utajikuta siku unapasuliwa yai au unaliwa tigo.
 
Leo una tia story kesho uta tia shahawa.

Kuwa makini kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…