Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Usinitag kwenye thread za wapumbavu kama huyu.
Kama mtu mwenye akili timamu amepost kitu ndio unitag.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinitag kwenye thread za wapumbavu kama huyu.
aendelee injinia mpaka pale wewe na magoma mtakapomleta mtu ambaye sio mlanguzi,kwani alishawahi tokea mtu wa namna hiyo ndani ya simba na yanga?kwa hiyo unachotaka kusema hii timu iendelee kuiwa na walanguzi
hata Rage piaLucy Eyamel ajengewe mnara
Huwa mnapenda timu yenu isifiwe tu mkija kwenye hoja kichwani watupu kama debeUsinitag kwenye thread za wapumbavu kama huyu.
Kama mtu mwenye akili timamu amepost kitu ndio unitag.
sasa nitafahamu vipi wakati wanaficha tusioneswali je unafahamu mapato halisi ya hizi timu?
sijakataa kuendelea bali awe muwazi na siyo kuficha mapato ya timuaendelee injinia
Hersi kupita bila kupingwa sio hoja sana kwani Hersi anasimamia maslahi ya mwekezaji ambaye ameiwezesha Yanga kufanya vizuri katika misimu mitatu iliyopita. Kuna uwezekano kuwa kuna upigaji, lakini mbona kipindi Yanga haina mwekezaji huwa hatuoni hizo fedha zinazosemwa zinaliwa. Kama Yanga ingekua na fedha wakati ule Mwinyi Zahera asingekuwa kocha na mdhamini wa timu. Fedha walizonazo Yanga kwa sasa zinatokana na uwekezaji wa GSM, sasa kuna walafi wanataka wajipenyeze wale vya bure kwa kiulaini. GSM akiondoka hapo Yanga na akina Mzee Magoma wanarudi mashimoni walikotokea.Kwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Yanga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga SC mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua Yanga SC na viongozi wao.
ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache kimekuja kutengeneza pesa kupitia Yanga SC.
(1) Raisi wa yanga kupita bila ya kupingwa , hili ni jambo la kushangaza timu kama Yanga tena timu ya wanachama na wanachama wana haki ya kupiga kura na kugombea pamoja na kumchagua kiongozi wanaomtaka wao lakini kwa Eng Hers imekua tofauti kabisa za ndani kabisa kuna watu walitaka kugombea lakini waliitwa kando na kutulizwa kuwa wamuache Hers na kweli hers alikosa upinzani na kupita bila ya kupingwa.
(2) Kufichwa baadhi ya mikataba kama Whizmo na mengineyo, nilishangazwa na taarifa za mkutano mkuu kuona kipengele cha vyanzo vinginevyo bila kuwaambia wanachama kuwa mikataba hiyo imeingiza shilingi ngapi hapa ni dhahiri kabisa huu uongozi upo kwa ajili ya masilahi yao binafsi na siyo masilahi ya timu.
(3) Timu inapata hasara na si kuingiza faida, msimu uliopita timu ilipata faida ya milioni 450+ lakini msimu uliofuata timu imepata negative na ukichunguza kwa undani kuna baadhi ya mambo yamefunikwa funikwa ikiwemo mapato ya timu na timu inaingiza shilingi ngapi wameficha kwa jicho la tatu Eng hers yupo pale juu kuwanufaisha watu na siyo timu.
Viongozi mnoongoza hizi timu za kariakoo msidhani kuwa mnaongoza mbumbumbu hayo mambo ya zama za kiza yamekwisha pita kwa hiyo wekeni mambo hadharani .
Usiumize kichwa ndugu, wengi wa wanao comment in negative way ni Makolo hayo, yanadhani mafanikio ya timu lao bovu hayawezi kuja bila ya Yanga kuvurugika kwanza.Wabongo ujuaji mwingi, mtu mmoja anajifanya anajua kukosoa ufundishaji, uchezaji, uchumi, n.k. hivi kabla ya ujio wa Manji, Mo na GSM hizi vilabu vilikuwa na hali gani kiuchumi, kimafanikio na kithamani? Tulikuwa tunazidiwa hadi timu za Kenya, Sudani. Leo hii GSM na Mo wamezifanya hizi timu zipande thamani, ubora na mafanikio tele Africa mnaanza majungu na fitina kuwa zinapata faida.
Je mashabiki wanataka pesa au mafanikio? Kwasababu hizo ela ambazo mnazohoji kuwa wanachukua ni matokeo ya hao hao wakina Mo na GSM kuzikuza hizo timu na mwisho kuongeza ushawishi kwa wadhamini ili kufanya wao wasipate hasara kwa kutoa pesa zao mifukoni kuendesha timu. Kabla ya ujio wa hawa watu vilabu vilikuwa vinaingiza sh ngapi kiasi kwamba tuone hivi vilabu vilikuwa na pesa za kutosha?
Kuendesha timu ya mpira siyo kama familiaWe ulichukua form ukafatwa?
Uchaguzi unakaribia wewe fika chukua form, omba kura wanachama tutakupima Wenda utashinda uwe Rais ya Yanga.
Sio kila mkataba utawekwa wazi.
Kuna makamouni hayapendi uwazi uwe kama unavotaka wewe.
Hao ni viongozi tumewaamini, acha wafanye kazi.
We shabiki ngumbalu uambiwe kila kitu ili iweje.
Hasara kwenye hizi team ni laZima mkuu.
Kuendesha team sio familia.
Wachezaji wanalipwa parefu.
Wanasafiri Kwa ndege.
Kambi
Chakula
Hersi ana wakilisha upande wa mwekezaji au mashabiki?Kwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Yanga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga SC mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua Yanga SC na viongozi wao.
ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache kimekuja kutengeneza pesa kupitia Yanga SC.
(1) Raisi wa yanga kupita bila ya kupingwa , hili ni jambo la kushangaza timu kama Yanga tena timu ya wanachama na wanachama wana haki ya kupiga kura na kugombea pamoja na kumchagua kiongozi wanaomtaka wao lakini kwa Eng Hers imekua tofauti kabisa za ndani kabisa kuna watu walitaka kugombea lakini waliitwa kando na kutulizwa kuwa wamuache Hers na kweli hers alikosa upinzani na kupita bila ya kupingwa.
(2) Kufichwa baadhi ya mikataba kama Whizmo na mengineyo, nilishangazwa na taarifa za mkutano mkuu kuona kipengele cha vyanzo vinginevyo bila kuwaambia wanachama kuwa mikataba hiyo imeingiza shilingi ngapi hapa ni dhahiri kabisa huu uongozi upo kwa ajili ya masilahi yao binafsi na siyo masilahi ya timu.
(3) Timu inapata hasara na si kuingiza faida, msimu uliopita timu ilipata faida ya milioni 450+ lakini msimu uliofuata timu imepata negative na ukichunguza kwa undani kuna baadhi ya mambo yamefunikwa funikwa ikiwemo mapato ya timu na timu inaingiza shilingi ngapi wameficha kwa jicho la tatu Eng hers yupo pale juu kuwanufaisha watu na siyo timu.
Viongozi mnoongoza hizi timu za kariakoo msidhani kuwa mnaongoza mbumbumbu hayo mambo ya zama za kiza yamekwisha pita kwa hiyo wekeni mambo hadharani .
Game zinapigwa, timu inapata ushindi... Wachezaji wanalipwa... Mashabiki na wanachama wanafurahi... Hayo ndio ya msingi kwasasaKwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Yanga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga SC mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua Yanga SC na viongozi wao.
ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache kimekuja kutengeneza pesa kupitia Yanga SC.
(1) Raisi wa yanga kupita bila ya kupingwa , hili ni jambo la kushangaza timu kama Yanga tena timu ya wanachama na wanachama wana haki ya kupiga kura na kugombea pamoja na kumchagua kiongozi wanaomtaka wao lakini kwa Eng Hers imekua tofauti kabisa za ndani kabisa kuna watu walitaka kugombea lakini waliitwa kando na kutulizwa kuwa wamuache Hers na kweli hers alikosa upinzani na kupita bila ya kupingwa.
(2) Kufichwa baadhi ya mikataba kama Whizmo na mengineyo, nilishangazwa na taarifa za mkutano mkuu kuona kipengele cha vyanzo vinginevyo bila kuwaambia wanachama kuwa mikataba hiyo imeingiza shilingi ngapi hapa ni dhahiri kabisa huu uongozi upo kwa ajili ya masilahi yao binafsi na siyo masilahi ya timu.
(3) Timu inapata hasara na si kuingiza faida, msimu uliopita timu ilipata faida ya milioni 450+ lakini msimu uliofuata timu imepata negative na ukichunguza kwa undani kuna baadhi ya mambo yamefunikwa funikwa ikiwemo mapato ya timu na timu inaingiza shilingi ngapi wameficha kwa jicho la tatu Eng hers yupo pale juu kuwanufaisha watu na siyo timu.
Viongozi mnoongoza hizi timu za kariakoo msidhani kuwa mnaongoza mbumbumbu hayo mambo ya zama za kiza yamekwisha pita kwa hiyo wekeni mambo hadharani .
Matajiri hufa pia,Akikata moto kama manji itakuwajeGame zinapigwa, timu inapata ushindi... Wachezaji wanalipwa... Mashabiki na wanachama wanafurahi... Hayo ndio ya msingi kwasasa
Atakuja mwengineMatajiri hufa pia,Akikata moto kama manji itakuwaje
Watu wanapiga pesa balaa. Hii ni Sawa na wachache wananufaika na Mali ya urithi.Tuendelee kula mtori nyama ziko chini.
Nalia Ngwena ni UTOUsiumize kichwa ndugu, wengi wa wanao comment in negative way ni Makolo hayo, yanadhani mafanikio ya timu lao bovu hayawezi kuja bila ya Yanga kuvurugika kwanza.
Kama haja kuelewa mpka hapa basi tenaGSM ni mfanya biashara Tena mwenye mafanikiao kabla ya kuja Yanga, Ao wakina Mavunde, Kitenge n.k walipambana ku mshawishi GSM kuja kuwekeza Yanga.
GSM ata Leo akiamua kuiacha Yanga hawezi filisika ila Yanga tutarudi kwenye uhalisia wetu kama Mwanzo.
Wakati Manji ameodoka, Yanga ilikua na Logo yake na Facility zake na hakuna aliye sogea kuisaidi.
Yanga Ina mamilioni ya mashabiki ndani na nje ya Nchi lakini mpaka Sasa waliojiandikisha na kuchukua kadi hawazidi elfu 90.
Wengi wao hawatalipia kadi za uanachama msimu huu 2023/2024 na kufanya mapato ya klabu kupitia wanachama kupungua kutoka bilion Moja na ushee kufikia milioni 600 timu ikiwa imetwaa taji lake la 30.
Iyo milioni 600 ni fedha ya maji kwa wachezaji na first Aid kit ya timu kwa msimu.
GSM anacho faidika ni kutangaza Bland yake kupitia Yanga na wame Target kimataifa zaidi maana kwa hapa ndani wao ni maarufu.
GSM ana wekeza katika Yanga ili wote wafaidike lakini ata asipowekeza Yanga, Bado GSM bland Yao inaweza ku survive bila Yanga, ila Yanga iki achwa pekeyake haitokufa ila ita zimia (collapse) kama kipindi alipo ondoka Manji.
Udhamini wa Sasa ambao ni mkubwa haizidi bilion mbili kwa Mwaka ambao Simba wameingia na Sunderland.
Yanga na Simba wakati wanafanya iyo biashara ya jezi wao wenyewe walikua walikua wakipata 200 milioni ambayo kwa Sasa ni tone tu katika Bajeti zao.
Izo jezi Zina uharamia mwingi mpaka uziuze na kurudisha fedha Yako ndio maana Vunja bei alishindwa.
Wewe una print jez China/ Thailand kwa gharama kubwa na unalipa kodi,
Wahuni wako DAR wamesha print copy tayari na Wana ziuza 5000/= full kit.
Wote tulishuhudia siku za karibuni zilipo kamatwa maelfu ya Jezi haramu kwenye ma godown Chang'ombe DSM .
Kuiendesha klabu sio jambo rahisi kwa apa Nchini.
Watanzania ndivyo tulivyo. Hapa hata katiba sheria zikivunjwa mashabiki tutafutahi as long as mambo yanaenda poa. Siku matokeo yakienda kombo timu ikaanza kutofanya vizuri, utasikia wale wale tuliokuwa tuanshangilia tukianza lawama. Na hili ndilo limekuwa pia likitokea kwa simba.Kwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Yanga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga SC mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua Yanga SC na viongozi wao.
ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache kimekuja kutengeneza pesa kupitia Yanga SC.
(1) Raisi wa yanga kupita bila ya kupingwa , hili ni jambo la kushangaza timu kama Yanga tena timu ya wanachama na wanachama wana haki ya kupiga kura na kugombea pamoja na kumchagua kiongozi wanaomtaka wao lakini kwa Eng Hers imekua tofauti kabisa za ndani kabisa kuna watu walitaka kugombea lakini waliitwa kando na kutulizwa kuwa wamuache Hers na kweli hers alikosa upinzani na kupita bila ya kupingwa.
(2) Kufichwa baadhi ya mikataba kama Whizmo na mengineyo, nilishangazwa na taarifa za mkutano mkuu kuona kipengele cha vyanzo vinginevyo bila kuwaambia wanachama kuwa mikataba hiyo imeingiza shilingi ngapi hapa ni dhahiri kabisa huu uongozi upo kwa ajili ya masilahi yao binafsi na siyo masilahi ya timu.
(3) Timu inapata hasara na si kuingiza faida, msimu uliopita timu ilipata faida ya milioni 450+ lakini msimu uliofuata timu imepata negative na ukichunguza kwa undani kuna baadhi ya mambo yamefunikwa funikwa ikiwemo mapato ya timu na timu inaingiza shilingi ngapi wameficha kwa jicho la tatu Eng hers yupo pale juu kuwanufaisha watu na siyo timu.
Viongozi mnoongoza hizi timu za kariakoo msidhani kuwa mnaongoza mbumbumbu hayo mambo ya zama za kiza yamekwisha pita kwa hiyo wekeni mambo hadharani .