Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

Mtafiti77

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,877
Reaction score
2,314
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
 
Dah! Ukute kimba la mnywa komoni au bia kwa sana.kuna harufu hazivumiliki aisee.

Air freshner inasaidia kidogo,chumba cha choo kuwe kikubwa na dirisha kubwa la kuingiza hewa safi.

Shimo la choo lisiwe mbali na chemba,mfumo wa kusafirisha maji taka ..fundi bomba auweke vizuri kuzuia harufu kurudi ndani.

Shimo pamoja na chemba viwe na bomba la kutolea hewa ( kupumua).

Angalau utapunguza tatizo.
 
Dah! Ukute kimba la mnywa komoni au bia kwa sana.kuna harufu hazivumiliki aisee.
Air freshner inasaidia kidogo,chumba cha choo kuwe kikubwa na dirisha kubwa la kuingiza hewa safi...
Asante aisee. Kuna jambo huwa linanifikirisha kidogo. Ile harufu haitoki chembani. Yani nionavyo, ni kimba fresh kabisa vile mtu kamaliza akitoka tu, balaa. Pengine hiyo size na madirisha makubwa yaweza saidia. Asante sana ndugu
 
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
mkuu ndo maana tunashauriwa kabla ya kununua ramani mitaani na kuanza ujenzi, mchukue mchora ramani mpeleke kwny kiwanja moja ya vitu atakavyoviangalia ni jua linachomoza na kuzama wapi, lengo ni kujua mpangilio wa vyumba, sebule na vyoo vikaaje ili kuepusha icho ulicho kisema pamoja na hali ya joto na baridi ktk nyakati tofauti za kila siku. Ukinunua ramani kienyeji inaweza isiendane na mazingira ya kiwanja chako mfano choo kuwepo kunakotokea upepo harufu yote itaishia sebuleni na vyumbani iyo nyumba itakua kero maisha yake yote.
 
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.

Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.

Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
binafsi nafikiri kwenye ile choo ya public, weka milango miwili, na kuwe na maji ya kutosha, na sio lazima kiwe karibu kabisa na sitting room. mlango wa kuingilia, halafu kwa ndani yake kuna mlango mwingine ndio ukute choo. occassionally, kama una kiwanja kikubwa weka choo ya wageni nje, ndani vyumba vyenu si vina self vyote, kile cha dharura sana kimoja kisitumiwe sana, watoto waambie waende kwenye vyoo vyao vyumbani kwao. mgeni mstaarabu sio rahisi kutitatita kwenye nyumba za watu. akilazimisha sana kwamonyeshe nje.
 
Kwa uzoefu wangu, harufu ya nya' wakati na baada ya kujisaidia utaikata vizuri tu kama..

1. Dirisha la chooni litakuwa wazi(fungua vioo) wakati unajisaidia
2. Kisha ukimaliza kujisaidia tupia sabuni hata ya unga kwenye sinki na shimo kisha umwage maji mengi/flash. Nakuhakikishia utatoka chooni na harufu imeshakata tayari
 
Dah! Ukute kimba la mnywa komoni au bia kwa sana.kuna harufu hazivumiliki aisee.
Air freshner inasaidia kidogo,chumba cha choo kuwe kikubwa na dirisha kubwa la kuingiza hewa safi.
Shimo la choo lisiwe mbali na chemba,mfumo wa kusafirisha maji taka ..fundi bomba auweke vizuri kuzuia harufu kurudi ndani,
Shimo pamoja na chemba viwe na bomba la kutolea hewa ( kupumua).
Angalau utapunguza tatizo.
Asante aisee. Kuna jambo huwa linanifikirisha kidogo. Ile harufu haitoki chembani. Yani nionavyo, ni kimba fresh kabisa vile mtu kamaliza akitoka tu, balaa. Pengine hiyo size na madirisha makubwa yaweza saidia. Asante sana ndugu
binafsi nafikiri kwenye ile choo ya public, weka milango miwili, na kuwe na maji ya kutosha, na sio lazima kiwe karibu kabisa na sitting room. mlango wa kuingilia, halafu kwa ndani yake kuna mlango mwingine ndio ukute choo. occassionally, kama una kiwanja kikubwa weka choo ya wageni nje, ndani vyumba vyenu si vina self vyote, kile cha dharura sana kimoja kisitumiwe sana, watoto waambie waende kwenye vyoo vyao vyumbani kwao. mgeni mstaarabu sio rahisi kutitatita kwenye nyumba za watu. akilazimisha sana kwamonyeshe nje.
Asante sana
 
hoja ipo hapa, hasa kama choo kina ile 'U-trap' , 'nya' inakua ngumu kuondoka

nilichoona inabidi utumie maji mengi, ndoo nzima ya lita 10, umwage kwa nguvu 'nya' ipite kwa 'U-trap' iende shimoni

zile zana za kuflashia zinazopachikwa ukutani zina umuhimu mno,
Shukrani sana ndugu
 
Asante aisee. Kuna jambo huwa linanifikirisha kidogo. Ile harufu haitoki chembani. Yani nionavyo, ni kimba fresh kabisa vile mtu kamaliza akitoka tu, balaa. Pengine hiyo size na madirisha makubwa yaweza saidia. Asante sana ndugu
Maisha yangu yote natumia choo cha ndani
hata kama fundi alitumia kanuni zote za ujenzi

Vitu hivi viwili kimoja kikikosekana na kimoja kikiwa hakifanyiki tegemea harufu mbaya

kama choo kilikosekana DIRISHA kubwa ambalo litakuwa linatoa na kuingiza hewa safi tegemea halufu kurudi sebureni
hii inatokana na kasumba ya choo kujengewa kidirisha tu kadogo n ukutwe kanafungwa muda wote
DIRISHA LA CHOONI linatakiwa liwe wazi muda wote sio linafungwa na vioo masaa 24

kusukuma kinyesi au hata mkojo na maji mengi
Nyumba niliyopanga sasa hivi haina mfumo wa kufrash mimi na familia yangu sheria ukikata GOGO lazima usukume na maji Ndoo ya lita 5 mpaka uhakikishe KINYESI chote kiondoke
hata akija mgeni si mstaarabu huwa naenda kufarsh mwenyewe au mkewangu najua wengine ustaarabu ZERO au mazoea ya vyoo vyao vya kulenga
 
mkuu ndo maana tunashauriwa kabla ya kununua ramani mitaani na kuanza ujenzi, mchukue mchora ramani mpeleke kwny kiwanja moja ya vitu atakavyoviangalia ni jua linachomoza na kuzama wapi, lengo ni kujua mpangilio wa vyumba, sebule na vyoo vikaaje ili kuepusha icho ulicho kisema pamoja na hali ya joto na baridi ktk nyakati tofauti za kila siku. Ukinunua ramani kienyeji inaweza isiendane na mazingira ya kiwanja chako mfano choo kuwepo kunakotokea upepo harufu yote itaishia sebuleni na vyumbani iyo nyumba itakua kero maisha yake yote.
Asante sana
 
Dah! Ukute kimba la mnywa komoni au bia kwa sana.kuna harufu hazivumiliki aisee.

Air freshner inasaidia kidogo,chumba cha choo kuwe kikubwa na dirisha kubwa la kuingiza hewa safi.

Shimo la choo lisiwe mbali na chemba,mfumo wa kusafirisha maji taka ..fundi bomba auweke vizuri kuzuia harufu kurudi ndani.

Shimo pamoja na chemba viwe na bomba la kutolea hewa ( kupumua).

Angalau utapunguza tatizo.
Komoni ni kiboko,ukijisaidia harufu yake ni balaa.
 
Sababu ni 2 tu; either fundi alikosea kuweka helbow au maji hayatoshi kusafisha KIMBA lote lililotupiwa humo shimoni. Kama kuna blockage kwenye helbow then uchafu utakua unakwenda kidogo sana kwa kila flashing 1. Nakushauri, tafuta fundi tindua hicho choo then fanya inspection upya. Blockage sometimes hutokea hivi; wakati ume set choo (hasa hivi vya kuchuchumaa ) labda ilifanyika kabla hujaweka jamvi au marumaru, so wakati sasa unaweka jamvi (choo kikiwa tayari kimefungwa ) kuna madongo ya cement yanaingia ndani ya choo, kwasababu ya ubize wa fundi huaga analazimisha kumwaga maji, kinachotokea yale madongo yanashindwa kupanda ule mkunjo wa helbow then yana settle pale katikati, baada ya muda fulani lile dongo linakua kama JIWE and hence litaanza kuzuia kinyesi kisipite kwenda shimoni. Just uzoefu wangu katika kujenga jenga nyumba nilikowahi kufanya cause hili liliwahi kunikuta kwenye kibanda changu nilichoa anzia maisha.
 
Back
Top Bottom