Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,877
- 2,314
Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.
Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.
Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.
Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.