Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

Kitoe kitu huku ukimimina maji kunako sink
Yaani kisiweke pause kunako sink kiende direct.
hii pia ni njia nzuri sana ,kuacha mpaka umalize ndio umwage maji unakuta harufu imeshasambaa mno
 
Kuna sabuni ya kuoshea choo ninatumia hakuna mtu amekuja akakosa isifia. Unamwaga tone kidogo balaa lake inapambana na harufu kama vile polisi inavyopambana na Chadema.
Samahan kaka. Unaweza nitajia jina la sabuni hiyo ya maji... Ama hata picha yake. Nikaitafute. Napatikana Dar es Salaam Sinza.
 
Samahan kaka. Unaweza nitajia jina la sabuni hiyo ya maji... Ama hata picha yake. Nikaitafute. Napatikana Dar es Salaam Sinza.
Inaitwa Yakari adimu sana. Ila nzuri balaa. Nitacheki kina kishop nanunuaga kama wameleta then nitakujuza..... Nipm ili nikumbuke mawasiliano yako.
 
Naona wengi hawajamuelewa mleta mada. Anaongelea ile harufu inauotoka wakati mtu anatoa mzigo.

Mbona simple tu,

Weka dirisha kubwa.

Weka milango miwili, na distance kati ya milango isipungue mita 1.

Hakikisha ukiwa ndani ya choo ukimuita mtu aliye sebuleni asiweze kusikia sauti.

Pia kwanin mlango wa choo utazamane na sebule? Siku ukipata mgeni mwenye aibu atashindwa kuingia chooni.
 
Naona wengi hawajamuelewa mleta mada. Anaongelea ile harufu inauotoka wakati mtu anatoa mzigo.

Mbona simple tu,

Weka dirisha kubwa.

Weka milango miwili, na distance kati ya milango isipungue mita 1.

Hakikisha ukiwa ndani ya choo ukimuita mtu aliye sebuleni asiweze kusikia sauti.

Pia kwanin mlango wa choo utazamane na sebule? Siku ukipata mgeni mwenye aibu atashindwa kuingia chooni.
Hahahhah... N kwl
 
Weka choo nje huko karibia mlango wa kutokea na anaetoka chooni mwambie apunge hewa nje kwanza au ale fegi nje.
Hapo kwako unaamua tu
 
Dah hii hali niliikuta nilipoenda kwa babaangu mdogo choo ni cha ndani lakin hakikubuniwa madhubuti kwa kuzuia harufu ya chooni ije seblen. Yan mtu akipiga nya watu wote wa seblen adi dining mnateseka,

Lol ule mlango niliuharibu kimakusudi nikamleta fundi akaweka mlango wa kioo na aluminum tena sealed apo ndio ikawa ndio suluhu ya harufu ya chooni haikufika tena Seblen
 
dubai huweka fan ya kutoa hewa nje huibandika dirishani na hewa yote huvutwa na kutoka nje . hata jikoni pia hutumika hizo fan kwa kuvuta moshi na kutoa nje
 
Toboa dari kama duara la robo au nusu mita kipenyo ile hewa ya ukaa itakuwa inavutwa kwenda darini balala ya kusambaa ndani,

Kimsingi kule darini ni area of high pressure na ndani. Ya toi ni low pressure! Ukiweza weka dohani(chimney)
 
Dah hii hali niliikuta nilipoenda kwa babaangu mdogo choo ni cha ndani lakin hakikubuniwa madhubuti kwa kuzuia harufu ya chooni ije seblen. Yan mtu akipiga nya watu wote wa seblen adi dining mnateseka,

Lol ule mlango niliuharibu kimakusudi nikamleta fundi akaweka mlango wa kioo na aluminum tena sealed apo ndio ikawa ndio suluhu ya harufu ya chooni haikufika tena Seblen
OK
 
Suluhisho
1.kama hujafunga gypsum fanya uweke gypsum
2.tiles za ukutani fanya zifike juu,zaidi ya nusu ya ukuta wa chooni (kwa ndani)
3.fundi aseti tena pitroit/elbow ya sink ikae vzur
4.Kama uliset bomba moja kwa moja ipelekayo mzigo kwenye sink, weka chemba yenye bomba ndefu,itasaidia kupunguza harufu.
5.Mlango wa toilet uwe wa panel mzito,hakikisha hakuna mianya ya kutoa sauti toka toilet kwenda maeneo mengine.
Point ya tatu ndo dawa tu,
P- trap au water seal maana yake haiko sawa,
Amuone fundi alekebishe.

Kwa wahitaji wa fundi bomba
Basi kutana nasi
UVIMO kwa huduma bora isiyo na mikwaruzo.
 
Choo ni kitu kinachotakiwa kipewe privacy kubwa sio mtu afanya yake mnasikia sauti za vishuz au harufu mbaya hii kitu kinatia aibu Sana .

Choo kinatakiwa kiwe madirisha makubwa hewa itoke na kuingia kwa wingi .

Pia kijengwe kwa style ambayo itampata privacy mtu aliyendani

Kuna baadhi ya vyoo nilishawai kuingia kulikuwa na vifen flani vinatoa hewa nje vyenyewe vimeunganishwa na taa ,choo kinakuwa na kiza kwhy ukiwasha taa na feni inajuwasha
1633268917477.jpg
 
1. Mtafute plumber aangalie P-trap/ S-trap kama kuna leakage.
2. Weka Ventilation pipe
3. Weka Exhaust Fan, hii kazi yake inatoa hewa chafu ya ndani kupeleka nje.
download.jpg
 
Choo ni kitu kinachotakiwa kipewe privacy kubwa sio mtu afanya yake mnasikia sauti za vishuz au harufu mbaya hii kitu kinatia aibu Sana .

Choo kinatakiwa kiwe madirisha makubwa hewa itoke na kuingia kwa wingi .

Pia kijengwe kwa style ambayo itampata privacy mtu aliyendani

Kuna baadhi ya vyoo nilishawai kuingia kulikuwa na vifen flani vinatoa hewa nje vyenyewe vimeunganishwa na taa ,choo kinakuwa na kiza kwhy ukiwasha taa na feni inajuwasha
View attachment 1961636
mkuu dah nilikuwaa sijui kama kuna feni za kutoa hewa nje, ngoja niingie chimbo nipate details, safi sanaa umeniongezea maujuzi kwenye nyumba nitakayotumia wakati najenga nyumba yangu ya kuishiiiiii
 
Back
Top Bottom