Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Kwahiyo atabaki na mavi yake [emoji1787]Naona wengi hawajamuelewa mleta mada. Anaongelea ile harufu inauotoka wakati mtu anatoa mzigo.
Mbona simple tu,
Weka dirisha kubwa.
Weka milango miwili, na distance kati ya milango isipungue mita 1.
Hakikisha ukiwa ndani ya choo ukimuita mtu aliye sebuleni asiweze kusikia sauti.
Pia kwanin mlango wa choo utazamane na sebule? Siku ukipata mgeni mwenye aibu atashindwa kuingia chooni.
Hili ni tatizo kwa nyumba nyingiNinaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani.
Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka kama wamemeza nyoka ni balaa. Mimi huwa ninaona aibu sana.
Hivi shida ni ufundi ama ndo ipo hivyo, lazima mchezee harufu mpaka mkome? Wenzetu mmefanyeje hadi hamteseki? Msaada tafadhali.
Kwanza dirisha la choo hakitakiwi kifungwe kabisa. Wanaofunga huwa wanafunga kwasababu ipi hasa?Kwa uzoefu wangu, harufu ya nya' wakati na baada ya kujisaidia utaikata vizuri tu kama..
1. Dirisha la chooni litakuwa wazi(fungua vioo) wakati unajisaidia
2. Kisha ukimaliza kujisaidia tupia sabuni hata ya unga kwenye sinki na shimo kisha umwage maji mengi/flash. Nakuhakikishia utatoka chooni na harufu imeshakata tayari
Tuwekee picha basi mkuu.Yakari