princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Kwa KE hilo ni tatizo kubwa sana na mara nyingi hawasemi, kama pesa ipo hata kiasi jaribu kumtoa out hata mara moja moja mkuu, huyo ni binadamu.Sawa mkuu, game ipo kama labda iwe dharura ya kukwamisha.
Suala la out ndio huwa sitokagi kabisa, tunaweza kutoka kwenda kununua mahitaji tukiwa pamoja basi
Sidhani kama ni sawa kwa sababu hawa viumbe ukionesha tu kuwajali au kuwalegezea ni sawa na mtoto atataka kufanya au ww ufanye yale ambayo kwako ni vigumu na pengine haiwezekani. Mimi nadhani lililo sawa ni kwa wewe kusimamia maamuzi yako yaliyo sahihi na ya haki. Mpe heshima yake, na asipo kusikiliza au akitoa ushauri ambao wewe unaona mwisho wake huko mbele ni majanga, unakuwa mkali na akiongeza shinikizo basi mnaachana. Hawa watu ni MSALABA kweli kweli tena msalaba wa zege au chuma cha pua. Kwa mfano anafanya matumizi makubwa kana kwamba wewe unazo sana au kana kwamba amekuja hapo kwako ili atumie vilivyopo au vinavyopatikana kadri awezavyo ikiwa ni pamoja na kufanya uzembe- uzembe (anafuja matumizi) halafu anataka wewe urekebishe hali.sawa mkuu
Wanawake wa design hiyo hawapendi kuambiwa ukweli hasa muda aliofanya kosa, hivyo jipange umwambie usiku mkiwa mmerelax umetoka kumgonga ama siku umemtoa out, usiongee Naye Kwa kufoka, ongea Naye Kwa upole na hekima. Pole sanaKichwa cha habari chahusika.
-Hamna mpangilio wa ratiba ya nini akifanye kwa muda gani
-Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake
-Hazingatii alicho nacho hadi kinapitwa na muda wake wa matumizi na kusababisha hasara
-Akiambiwa kitu hakijakaa sawa anahisi kuonewa na kulalamika ilihali yeye ndio muhusika
Kwa ustawi wa familia mnadili vipi na mwanamke wa hivi?
Hiyo sababu no 2 unauhakika kamauliwahi kumwambia asichepuke akajaribuUyu ni mke wangu kabsa asee
1) kwanza ukimwambia au kumshauri kitu ana bisha ana jiona anajua afu mwisho wa siku ana haribu kwel. Aki haribu ana jirudi akitaka umsaidie kusolve.
2) Ana penda kufanya kile kitu usicho penda au ulicho mkataza asi fanye ,yeye ata kifanya ili aone kuna nini hadi ume mkataza ,
3)Ni mtu wa kulia lia haraka , na kuomba omba msamaha kila saa ina nikwaza sana hii.
4)ni mchunguzi sana unaweza sema kitu afu uka sahau ukapita ata mwezi ,siku mki kosana ata kirudisha tena akiwa na new findings.
5)hana chukulia mambo kiwepesi sana hana u seriouse wowote kabsa whike mimi ni mtu nnae penda mambo yalio nyooka sifanyi kitu kama naona kita nisumbua akili au akija kamilika
Njia nilizo tumia kupunguza tatizo ni kama kumkatalia baadhi ya mambo ambayo naona yata leta matatizo hata kama aki chukia,
kuto msaidia 100% kwa kila jambo bali namuonesha njia tu kwa 50% na jinsi ya kufanya ila afanye mwenyewe asi zoee sana hata siku nisipo kuwepo
Mengine yenye impact nayaacha kama yalivyo ajifunze ata kama uwezo wa kusolve nnao mfano wakati kujifungua mtoto wa kwanza nili mwelekeza kabsa ahakikishe jina la mtoto lina kua sahihi hili tusipate shida badae lakini mwisho wa siku kaandika tofauti herufi zime kosewa , hadi chet kime toka lime kosewa .hili swala nlimwacha apambane nalo mwenyewe tena kwa nguvu nlicho taka ni alete chet atajua atapo enda.
Mkuu kwenye kuchepuka ni swala lingine ambalo kama watu wazima sio mpaka muambiane( .mfano kuambiana siku uki ni cheat takuua )aya ni mambo ya kitoto nme zungumzia mambo mengine sio ya kucheat.Hiyo sababu no 2 unauhakika kamauliwahi kumwambia asichepuke akajaribu
Alafu na wewe ukichukulia vitu kiwepesi anaanza kusema hauko seriousUyu ni mke wangu kabsa asee
1) kwanza ukimwambia au kumshauri kitu ana bisha ana jiona anajua afu mwisho wa siku ana haribu kwel. Aki haribu ana jirudi akitaka umsaidie kusolve.
2) Ana penda kufanya kile kitu usicho penda au ulicho mkataza asi fanye ,yeye ata kifanya ili aone kuna nini hadi ume mkataza ,
3)Ni mtu wa kulia lia haraka , na kuomba omba msamaha kila saa ina nikwaza sana hii.
4)ni mchunguzi sana unaweza sema kitu afu uka sahau ukapita ata mwezi ,siku mki kosana ata kirudisha tena akiwa na new findings.
5)hana chukulia mambo kiwepesi sana hana u seriouse wowote kabsa whike mimi ni mtu nnae penda mambo yalio nyooka sifanyi kitu kama naona kita nisumbua akili au akija kamilika.
Njia nilizo tumia kupunguza tatizo ni kama kumkatalia baadhi ya mambo ambayo naona yata leta matatizo hata kama aki chukia,
kuto msaidia 100% kwa kila jambo bali namuonesha njia tu kwa 50% na jinsi ya kufanya ila afanye mwenyewe asi zoee sana hata siku nisipo kuwepo.
Mengine yenye impact nayaacha kama yalivyo ajifunze ata kama uwezo wa kusolve nnao. mfano wakati kujifungua mtoto wa kwanza nili mwelekeza kabsa ahakikishe jina la mtoto lina kua sahihi hili tusipate shida badae lakini mwisho wa siku kaandika tofauti herufi zime kosewa , hadi chet kime toka lime kosewa .hili swala nlimwacha apambane nalo mwenyewe tena kwa nguvu nlicho taka ni alete chet atajua atapo enda.
sawa mkuu maana nilianza kuogopaMkuu kwenye kuchepuka ni swala lingine ambalo kama watu wazima sio mpaka muambiane( .mfano kuambiana siku uki ni cheat takuua )aya ni mambo ya kitoto nme zungumzia mambo mengine sio ya kucheat.
Hehehee. Wewe hao watu naona huna uzoefu nao. Kwanza ujue akisha kukasirisha mbona hata stimu haiji kabisa? Yan hata chakula unajikuta hupendi kukila ila basi tuu unakula ili kuepusha au kupunguza kero.Wanawake wa design hiyo hawapendi kuambiwa ukweli hasa muda aliofanya kosa, hivyo jipange umwambie usiku mkiwa mmerelax umetoka kumgonga ama siku umemtoa out, usiongee Naye Kwa kufoka, ongea Naye Kwa upole na hekima. Pole sana
A very good representative sample. Basi sasa mkuu, ujue kwamba Takriban WOOTE wako hivyo na pengine wapo waliopitiliza e.g. Mambo ya ndani (ya maudhi) atayatoa nje kwa marafiki, atashitaki kwa mama mkwe, atajitahidi kuyakuza mambo madogo dhidi yako ili yaonekane ni makubwa. Mwisho wa siku akitulia analiona kosa lake halafu anaomba msamaha lakini kesha sahau ameshavuruga pa kubwa.Uyu ni mke wangu kabsa asee
1) kwanza ukimwambia au kumshauri kitu ana bisha ana jiona anajua afu mwisho wa siku ana haribu kwel. Aki haribu ana jirudi akitaka umsaidie kusolve.
2) Ana penda kufanya kile kitu usicho penda au ulicho mkataza asi fanye ,yeye ata kifanya ili aone kuna nini hadi ume mkataza ,
3)Ni mtu wa kulia lia haraka , na kuomba omba msamaha kila saa ina nikwaza sana hii.
4)ni mchunguzi sana unaweza sema kitu afu uka sahau ukapita ata mwezi ,siku mki kosana ata kirudisha tena akiwa na new findings.
5)ana chukulia mambo kiwepesi sana hana u seriouse wowote kabsa while mimi ni mtu nnae penda mambo yalio nyooka sifanyi kitu kama naona kita nisumbua akili au akija kamilika.
Njia nilizo tumia kupunguza tatizo ni kama kumkatalia baadhi ya mambo ambayo naona yata leta matatizo hata kama aki chukia,
kuto msaidia 100% kwa kila jambo bali namuonesha njia tu kwa 50% na jinsi ya kufanya ila afanye mwenyewe asi zoee sana hata siku nisipo kuwepo.
Mengine yenye impact nayaacha kama yalivyo ajifunze ata kama uwezo wa kusolve nnao. mfano wakati kujifungua mtoto wa kwanza nili mwelekeza kabsa ahakikishe jina la mtoto lina kua sahihi hili tusipate shida badae lakini mwisho wa siku kaandika tofauti herufi zime kosewa , hadi chet kime toka lime kosewa .hili swala nlimwacha apambane nalo mwenyewe tena kwa nguvu nlicho taka ni alete chet atajua atapo enda.
Hahaaha, au utaishia kuambiwa never talk the past, unabeba mambo ya nyuma, nk. kumbuka hapo kidume umejikunja kutafuta muda mzuri, nafasi nzuri ya kuongea mambo ambayo unaamini hayakuwa sawa kufanywa/kutendwa na mwenzio ukiamini kuwa hapo wote mnamood nzuri, mna-amani kubwa nk. Hivyo ni muda sahihi wa kuzungumza na kurrkebishana. Inahitaji patience ya hali ya juu sana kuwamudu.Hehehee. Wewe hao watu naona huna uzoefu nao. Kwanza ujue akisha kukasirisha mbona hata stimu haiji kabisa? Yan hata chakula unajikuta hupendi kukila ila basi tuu unakula ili kuepusha au kupunguza kero.
Ukizingatia saikolojia ya jinsia ya Ke, ww Me ukiongea maneno 15 yeye ataongea 45-50 i.e. Three times yako na mbaya zaidi atatoa majibu pinzani hata kabla hujamaliza kuongea - anaku-pre empty na anakunyima pumzi. Ukiongea kwa upole, kwake yeye hapo ndo unamfokea. Unaweza kupanga umtoe out lakini siku hiyo atakwambia anaenda vikoba au kikao cha send off. Yan dah! acha bhana we yasikie kwa wenzio ila yasikukute broo.
MCHANGAMSHE KIDOGO MKUUKichwa cha habari chahusika.
-Hamna mpangilio wa ratiba ya nini akifanye kwa muda gani
-Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake
-Hazingatii alicho nacho hadi kinapitwa na muda wake wa matumizi na kusababisha hasara
-Akiambiwa kitu hakijakaa sawa anahisi kuonewa na kulalamika ilihali yeye ndio muhusika
Kwa ustawi wa familia mnadili vipi na mwanamke wa hivi?
Unataka nikuelekeze matumizi ya ngumi kumchangamsha mama?kuelekezana na kusikilizana halafu kutekeleza hayo mlioelekezana ni sehemu ya shida na raha. sasa yasipotekeleza si inakuwa tena zaidi ya shida
Kabisa yan. Kwa wale jamaa "ngumi mkononi" mara unaskia paap! keshalambwa kibao cha mdomoni ili apunguze tararira.Hahaaha, au utaishia kuambiwa never talk the past, unabeba mambo ya nyuma, nk. kumbuka hapo kidume umejikunja kutafuta muda mzuri, nafasi nzuri ya kuongea mambo ambayo unaamini hayakuwa sawa kufanywa/kutendwa na mwenzio ukiamini kuwa hapo wote mnamood nzuri, mna-amani kubwa nk. Hivyo ni muda sahihi wa kuzungumza na kurrkebishana. Inahitaji patience ya hali ya juu sana kuwamudu.