Mnaelewa nini wadau?

calvinminja

Member
Joined
Feb 15, 2018
Posts
25
Reaction score
16
Naomba kujua tofauti ya MUONGEAJI na MZUNGUMZAJI kwa upana wake na marefu yake.
 
Kuongea ni kutumia mdomo, kuzungumza ni kutumia mdomo kwa busara/hekima
 
Naomba kujua tofauti ya MUONGEAJI na MZUNGUMZAJI kwa upana wake na marefu yake.
Mzungumzaji mtu mwenye sifa ya kuweza kueleza mambo kwa namna nzuri na kwa kupendeza. Haijalishi kama ana hekima au hana.
Mwongeaji ni mtu mwongo mwongo hana facts, hapangilii maongezi lolote ataweka.
 
Nimesoma maelezo yenu wakuu ila nimebaki na swali; tofauti ya mazungumzo na maongezi ni nini??

Kwa tafsiri tajwa hapo juu, maongezi ni kama KUPIGA ZOGO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…