Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Sikupingi mwamba,Nilitaka kukushanga Kama utakwenda kinyume na [emoji23][emoji23] mm ,mnk huwa nakueleewa Sana jinsi mlivyo mbana mkuu wa fasihi akatokomeaa kusiko julikana
Mm sioni tatizo awe kajininulia au amenunua kikubwa tumuombee
Ndio nakukubali sana mdada tajiri usie na maringo wala noma na mtuWeeeeh!! Niringe!!!
Zinalipa 5% kila miezi sita kwa mwaka ndio 10%!Alfu Mkuu Extrovert umesisikia bond za nbc bank wanatoa 10% kila mwaka je umesisikia na je zinalipa au uzushi tu
Wanasema wanatoa kila baada ya miezi sita unakula faida embu fatilia alfu unitonjee mkuu
Hizi hasira hatari sanaUnakesha kwenye page za ujinga kufatilia watu una screenshot unakuja fungua uzi
Zamaradi Ni Nani Kwanza ,
Afu wewe ndo tukuulize una feli wapi mbona bwana ako hajakupa chochote
Bora useme wewe!π₯°Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
kama uko stage ya ukubwani pumzisha mwili wako,huku vijana wanatoa na vilivyokatazwa na Mungu,kuhonga Range sio mchezo mchezoNgoja tuongeze ongeze ufundi hata huku ukubwani π€£π€£ tuone miugiza.
Kwahiyo unaamini kama zama hawezi kujinunulia mmewe ndo kaweza?π huwajui wadada wa kibongoZamaradi ana fanya kazi gani ya kumfanya anunue Range Rover Vogue?? Na kama kanunua kwa pesa yake basi anastahili pongezi mnoooooooooo mkwanja anao
Kumbe wadada wa kibongo wana mikwanja mirefu hivyo! Lakini pia wanajua kuwaheshimisha waume zao.... Kwanini sisi tusiheshimu alichokisema kuliko kufukunyua vitu ambavyo havina faida kwetu?Kwahiyo unaamini kama zama hawezi kujinunulia mmewe ndo kaweza?[emoji23] huwajui wadada wa kibongo
'nzigo'? Ndiyo utumbo gani huo au ni Mmakonde?Hivi we upoje? R na l ni nzigo sana aisee
We unaonaje mke wa kihongosi'nzigo'? Ndiyo utumbo gani huo au ni Mmakonde?
Exactly my thoughts.Rafiki mwema ukiona mahusiano yanapambwa na kupambaniwa sana mitandaoni jua kuna shida kubwa ndani yake.. Ni kama vile uzuri wa mkakasi unavyoonekana kwa nje
'nzigo'? Ndiyo utumbo gani huo au ni
Tena mmakonde haswaaa ila nawagegeda wachaga balaa huku uchagani kwa mrema'nzigo'? Ndiyo utumbo gani huo au ni Mmakonde?
'kihongosi'We unaonaje mke wa kihongosi
Kihongosi alikuchapa ngapi jana'kihongosi'
Kutukana ni moja ya sifa zenu, no wonder 'nzigo'.
Yes garage yake imesimama.Jamaa kama ana garage ya kueleweka hilo ni jambo jepesi sana basi.
πππππNdio nakukubali sana mdada tajiri usie na maringo wala noma na mtu