Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kama kajinunuli basi Zama atakua na ukwasi mnene
 
Uwongo wa hali ya juu huo!
Huyo mdada ni mpumbavu sana yaani kauza nyumba aliyo rithishwa na Ruge hapa Masaki!
Pesa ya mgao wa watoto wote wa Ruge, wakagawana na wamama wengine waliozaa na Ruge, mpumbavu mgao wake kaenda kununua Range alafu anadanganya kapewa zawadi na mume, fool of [emoji90] walahi!
Nincompoop [emoji35]
 
Haha mnamchukulia poa zam eh

Ova
 
Haha mnamchukulia poa zam

Ova
 
Show off za kitoto sana hizi..ngoja akina jike shupa wamkwapue si wanaume kwani tuna akili???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Range za watu sisi zinatuhusu nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…