Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Bora uhai
Hivi we upoje? R na l ni nzigo sana aisee
kila mtu anahonga kwa kiwango chake,hapo ndugu yangu shebby ni kiwango chakeSafi kka tumpongeze kwa Hilo Jambo
Rafiki mwema ukiona mahusiano yanapambwa na kupambaniwa sana mitandaoni jua kuna shida kubwa ndani yake.. Ni kama vile uzuri wa mkakasi unavyoonekana kwa njeZamaradi Tena kaongwa kitu kipya zeroo km Aina ya range Rover autobiography Kali sana hapa mjini DSM.
Dada yetu ana bahati ya peke haswa kwa kipindi hiki huwezi pata mwanaume akuonge pesa ndefu huku ulikuwa single maza na watoto watatu juu siyo kawaida kabisa, dada mshukuru Sana mungu kwa hilo, siyo Jambo dogo kabisa hili.
Ila pia naambiwa mhongaji anatokea Royal family moja kubwa hapa nchini haijajulikana ni ipi hadi sasa.
Kudos Sana mhongaji uko vizuri ilisemekana wee ni mmoja wa watu wanaopata furaha Sana ktk mapenzi konde boy haoni ndani.
View attachment 2411275View attachment 2411276
Kumbe ndio hbr zao ila kjn inasemekana Ni kijna wa royal familyIle mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Mission town Ni ipi Tena naona unafahamu mengi Zaid embu nipe code hyoIle mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Hpn bhna hamuwez zinguana na Kisha Kuja public kupeana zawadiRafiki mwema ukiona mahusiano yanapambwa na kupambaniwa sana mitandaoni jua kuna shida kubwa ndani yake.. Ni kama vile uzuri wa mkakasi unavyoonekana kwa nje
'Kapewa na mumewe'...
Ujinga ni kuanza kuonesha onesha mavitu kama hayo mitandaoni...
Kufurahia mafanikio ya binadamu mwingine, ni hatua ya kwanza ya ukomavu wa akili na hisia......Nakuelewa wakili msomi[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa mabinti zangu wataanza kuwaambia wapenzi wao nieleze nitafanya chochote kwa ajili yako, mnakuja kuambulia chips kuku na marinda yametatuliwa
Nakuelewa sna wakili msomiKufurahia mafanikio ya binadamu mwingine, ni hatua ya kwanza ya ukomavu wa akili na hisia......
Tumtegemee Mungu, tufanye kazi kwa bidii na tuache majungu & wivu, yote yanawezekana.......