[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha mbali wkt wa ujio wa iPhone 14 ,kuna jamaa alisema HV HV sijui Ni wee ,eti mademu marinda hayata pona kupambania iPhone 14
Hata sifahamu limefikia wapi mkuu, mimi niliachana nalo siku ile-ile baada ya kutoa maoni yangu......Nakuelewa sna wakili msomi
By the way lile swala la laws school limefikiwa wapi mkuu[emoji23]
Mungu hadhihakiwi tamati itasemaHpn bhna hamuwez zinguana na Kisha Kuja public kupeana zawadi
Nasiki Valentine's inayokuja mji yote mikubwa itawekwa bango lake la kielectronic
[emoji23] usiogope mkuu kwani utafika wakta nawew uataonga hata ist mkuu kwa bebie wakoAsitusumbue kila mtu anampa mpenzi wake anachoweza, mimi wangu nikimpa yoghurt za asas na pipi ivory na nauli ya mwendokasi tayari ananiona shujaa
Atakuwa kajinunulia mwenyewe.
Msitake kufanya mashine zetu zionekane zina gundu
[emoji23] usiogope mkuu kwani utafika wakta nawew uataonga hata ist mkuu kwa bebie wako
SanaaMkuu M & N Ni Zigo Sana.
Na kweli mkuu maoni yako niliyasoma Hadi kwenye gazeti la mwananchi wew Ni makini sna unaliona Jambo kwa jicho la tatuHata sifahamu limefikia wapi mkuu, mimi niliachana nalo siku ile-ile baada ya kutoa maoni yangu......
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari Sana ogopa Sana kabint Hana Kaz ya maana ila anamiliki macho matatu Kuna mawili hapoHuo ndio ukweli usiwaone wanaringishia iphone 14 kama mafanikio pale wakikaa au kuinama hewa inatoka yenyewe, mbele za watu wanacheka lakini mioyoni wanalia sana
Gazeti la Mwananchi ??? Now, that's new...Na kweli mkuu maoni yako niliyasoma Hadi kwenye gazeti la mwananchi wew Ni makini sna unaliona Jambo kwa jicho la tatu
By the ile kamti ya mwakiyembe imeingia mitini nn?