Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Mtoa mada ni jinsia gani?
Why the fuk mnaanza kujadili mtu kuhongwa gari? Tena wengine ni watoto wa kiume mnajadili mwanaume mwenzenu kuhonga gari? Hii ni way worse!

What the fuk is going on here?
 
Mtoa mada ni jinsia gani?
Why the fuk mnaanza kujadili mtu kuhongwa gari? Tena wengine ni watoto wa kiume mnajadili mwanaume mwenzenu kuhonga gari? Hii ni way worse!

What the fuk is going on?
Hakuna tatizo acha makasirio nampngeza mtu aliye toa zaawadi na mpokeaji

Mambo mengi Sina muda sna

Na wee kazana hata umuonge mchepuko wako kasimu Cha lak 300000
 
Kajinunulia hawa wanawake wa mjini wanapenda cinema sana kuliko uhalisia.
Hawa ndio wanasababisha number za talaka kuongezeka Dar πŸ™‚ wanawake wataanzwa nongwa ona yule ndio mwanamme wewe hata Iphone tu shida kumbe uhalisia wote wamechanga utadhani kweli jamani msiharibu ndoa za watu kwani mambo yenu wakijuwa family yako tu shida iko wapi mpaka tujione hatuna thamani kwa wake zetu. Hizi ndio fitnaπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Alaf anatuuliza Sisi, si akamuulize Bwana Ake Fala nini .....!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji1787] ila kwa vile umekuja kuoji huku aisee hauna hela wee upo upo tu Kama bundi
 
Hpna siyo sawa wakti wake ndio huu hata na wee utafika tu siku unaongaa ndiga kwa lamama wako


Alfu pia mwanamke anae lalamika kuhusu vitu hvyo mfukuze akwende kwa baba ake akamununulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…