Mzee Mapenzi
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 122
- 439
Hii inatokea kabla hamjachoshana! Au ugomvi ambao mmoja hataki kushindwa ndo huzaa hizo tabia.Mimi ukinichosha wiki mbili nyingi namba nasahau kabisa
Mimi ukinichosha wiki mbili nyingi namba nasahau kabisa
Binamu hujambo[emoji849][emoji849][emoji849]
Swali lako linahusiana vipi na hicho nilichoandika?Kwani una wangap
My smart assSasa hivi umeweka jina gani?
Binamu hujambo
Yaani mkund* msafi?
Unaifuta namba ila kabla ya kuifuta unainakili namba sehemu nyingine na kuihifadhi.Kwenye mahusiano bana kuna mengi hutokea hasa kwa wapendanao, ambao siku moja moja hutofautiana na kugombana sana hali inayopelekea mmoja kununa au wote kununa na kisha kufuta namba ya simu au kumblock kisha muda fulani ukipita unasave tena au unblock na maisha yanaendelea.
Je wewe uliwahi kufuta au kublock laazizi wako?
Au akikuzingua huwa unafanya nini katika ukomo wako wa hasira?
**
Mzee mapenzi nasema hivi; Mods naombeni msiunganishe uzi huu tafadhali
Swali lako linahusiana vipi na hicho nilichoandika?
Ngoja nikufungulie binamuSijambo, kila nikigonga mlango bado inaonekana umefunga, why?
Ukiwajua itakusaidia nini?Umesema ukifuta namba ujue mapenzi yameisha. Sasa, una wangapi ambao kati yao ukifuta namba ajue penzi ni chakavu?
Ukiwajua itakusaidia nini?
HayaNdiyo.
Smart= nadhifu
Ass=tako/ mkundu
Duh! Inaonekana unampenda kufa aiseeNilijaribu kumblock hata haikupita nusu saa nikammiss nikamunblock.