Mzee Mapenzi
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 122
- 439
Kwenye mahusiano bana kuna mengi hutokea hasa kwa wapendanao, ambao siku moja moja hutofautiana na kugombana sana hali inayopelekea mmoja kununa au wote kununa na kisha kufuta namba ya simu au kumblock kisha muda fulani ukipita unasave tena au unblock na maisha yanaendelea.
Je wewe uliwahi kufuta au kublock laazizi wako?
Au akikuzingua huwa unafanya nini katika ukomo wako wa hasira?
**
Mzee mapenzi nasema hivi; Mods naombeni msiunganishe uzi huu tafadhali
Je wewe uliwahi kufuta au kublock laazizi wako?
Au akikuzingua huwa unafanya nini katika ukomo wako wa hasira?
**
Mzee mapenzi nasema hivi; Mods naombeni msiunganishe uzi huu tafadhali