Mnagombana unanuna, unafuta namba zake za simu, badae unasave tena; hakika mapenzi nyoso.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂😂
kweli njaa mwanaharamu
 
Alinikera nkamblock afu nkapiga kimya kama mwezi mmoja ivi, siku nakuja kumtafuta kabadili namba, hapatikani kabisa. It had been six months since then, nmeshindwa kumsahau kabisa, mbaya zaid halipokua kapanga kahama, sijui ntampata vipi., I real love her naomba Mungu anitafute,, sitafanya tena ujinga huu.
 
Ma single maza na faza mnajadili uhuni wenu humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…