Mnagombana unanuna, unafuta namba zake za simu, badae unasave tena; hakika mapenzi nyoso.

Mnagombana unanuna, unafuta namba zake za simu, badae unasave tena; hakika mapenzi nyoso.

Mi huwa nafuta kwenye simu ila kichwani ipo,baada ya muda namtafuta tunaendelea kugegedana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alinikera,nikasusa,nikafuta namba zake. Bahati mbaya sijazishika kichwani maana hata zangu sijashika.
Nikammiss kweli alafu siwezi kumtafuta, basi kila simu ikiita natamani awe yeye. Akaninyoosha kwanza for one week, then ndio akaja kupiga. Alivyopiga nikawa kama nishaanza kuzoea kuishi bila yeye.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alinikera,nikasusa,nikafuta namba zake. Bahati mbaya sijazishika kichwani maana hata zangu sijashika.
Nikammiss kweli alafu siwezi kumtafuta, basi kila simu ikiita natamani awe yeye. Akaninyoosha kwanza for one week, then ndio akaja kupiga. Alivyopiga nikawa kama nishaanza kuzoea kuishi bila yeye.
Ikawaje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alinikera,nikasusa,nikafuta namba zake. Bahati mbaya sijazishika kichwani maana hata zangu sijashika.
Nikammiss kweli alafu siwezi kumtafuta, basi kila simu ikiita natamani awe yeye. Akaninyoosha kwanza for one week, then ndio akaja kupiga. Alivyopiga nikawa kama nishaanza kuzoea kuishi bila yeye.
Hatimaye mkaachana rasmi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alinikera,nikasusa,nikafuta namba zake. Bahati mbaya sijazishika kichwani maana hata zangu sijashika.
Nikammiss kweli alafu siwezi kumtafuta, basi kila simu ikiita natamani awe yeye. Akaninyoosha kwanza for one week, then ndio akaja kupiga. Alivyopiga nikawa kama nishaanza kuzoea kuishi bila yeye.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kumbe hii ya kusubiri mwito wa simu ni kwa wote????......yaani Leo nina stress kila text nachungulia siyee jamani
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kumbe hii ya kusubiri mwito wa simu ni kwa wote????......yaani Leo nina stress kila text nachungulia siyee jamani
Wachaa weeeee

kweli hakuna anayependa kuwa single
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kumbe hii ya kusubiri mwito wa simu ni kwa wote????......yaani Leo nina stress kila text nachungulia siyee jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawe umefuta namba?
 
Mi aliniudhi nikajikuta ninja kwa hasira nikafuta namba bila kukariri kichwani wala sehemu.. Bahati mbaya kuna ela nilikua nimemuazima ile nafuta tu namba ndo nikakumbuka ana ela yangu_ nilijuta sana asieh sema njaa mbaya sana siku nimekula mkate na maji mbona niliikumbuka automatic
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawe umefuta namba?
Yaani kona zote nimefuta ....kwa hasira call history yote nimepiga delete all
WhatsApp kote futaaa simu zote nimesafisha hakuna hata alama ya namba zake ...bora nipate stress za muda mfupi kuliko kero za kila siku
 
Back
Top Bottom