Mnahubiri nishati safi halafu hamshushi gharama za gesi wala umeme, watu wapikie upepo?

Mnahubiri nishati safi halafu hamshushi gharama za gesi wala umeme, watu wapikie upepo?

Alafu unasikia wanasema wametenga bilioni kadhaa za kujenga makumbusho ya marais, wakati wangeweza kutumia pesa hizo kama ruzuku ya kushusha gesi
 
Niwaulize kitu jamani, hivi hawa watu wanajielewa kweli? Uhamasisha nishati ya kupikia bei ya gesi ipo juu....Mtungi kapandisha kutoka kujaza elfu 17 hadi 25000 kwa mtungi wa kilo 6 halafu anahubiri nishati safi!!

Nishati safi my foot?sasa hao wananchi watapikia upepo au vinyesi vyao?nauliza kwasababu mtu aache kununua mkaa au kuni bei chee akanunue gesi wakat gesi haishikiki? Umeme ni ghali makato kibao?

Nyie machawa wa huyo mama enu ebu mshaurini atumie ubongo wake japo kidogo tu, hizi project zake za nishati safi hazitofanikiwa hata kwa chembe maana hakuna ufanisi wowote, unahamasisha watu watumie umeme kupikia kwa huu umeme wa unit 23 elfu 10? Unahamasisha watu wapikie gesi mtungi mdogo kilo 6 ni 25000 ukapanda kutoka 17k hadi 25k

Huyo mama enu amefeli kama alivyofeli kwenye kila kitu maana hana wasahauri maskini
Hii sera imebuma mapema sana!!
Ni utawala kobaz mwenzenu mwambieni hilo
 
Niwaulize kitu jamani, hivi hawa watu wanajielewa kweli? Uhamasisha nishati ya kupikia bei ya gesi ipo juu....Mtungi kapandisha kutoka kujaza elfu 17 hadi 25000 kwa mtungi wa kilo 6 halafu anahubiri nishati safi!!

Nishati safi my foot?sasa hao wananchi watapikia upepo au vinyesi vyao?nauliza kwasababu mtu aache kununua mkaa au kuni bei chee akanunue gesi wakat gesi haishikiki? Umeme ni ghali makato kibao?

Nyie machawa wa huyo mama enu ebu mshaurini atumie ubongo wake japo kidogo tu, hizi project zake za nishati safi hazitofanikiwa hata kwa chembe maana hakuna ufanisi wowote, unahamasisha watu watumie umeme kupikia kwa huu umeme wa unit 23 elfu 10? Unahamasisha watu wapikie gesi mtungi mdogo kilo 6 ni 25000 ukapanda kutoka 17k hadi 25k

Huyo mama enu amefeli kama alivyofeli kwenye kila kitu maana hana wasahauri maskini
Hii sera imebuma mapema sana!!
Kwenye maswala kama haya tuko pamoja sana sio kule Iran mkuu sisi sio Wairan wala wayahudi sisi ni watanganyika.
 
Niwaulize kitu jamani, hivi hawa watu wanajielewa kweli? Uhamasisha nishati ya kupikia bei ya gesi ipo juu....Mtungi kapandisha kutoka kujaza elfu 17 hadi 25000 kwa mtungi wa kilo 6 halafu anahubiri nishati safi!!

Nishati safi my foot?sasa hao wananchi watapikia upepo au vinyesi vyao?nauliza kwasababu mtu aache kununua mkaa au kuni bei chee akanunue gesi wakat gesi haishikiki? Umeme ni ghali makato kibao?

Nyie machawa wa huyo mama enu ebu mshaurini atumie ubongo wake japo kidogo tu, hizi project zake za nishati safi hazitofanikiwa hata kwa chembe maana hakuna ufanisi wowote, unahamasisha watu watumie umeme kupikia kwa huu umeme wa unit 23 elfu 10? Unahamasisha watu wapikie gesi mtungi mdogo kilo 6 ni 25000 ukapanda kutoka 17k hadi 25k

Huyo mama enu amefeli kama alivyofeli kwenye kila kitu maana hana wasahauri maskini
Hii sera imebuma mapema sana!!
Lucas Mwashambwa njoo huku umtetee zezeta wako
 
Anachokihubiri huyu mama sicho anachotenda, anahimiza watu walipe kodi huku mshahara wake haukatwi kodi, kwanini yeye asiwe mfano? hatuna kiongozi hapa tuna mtawala pekee
 
Niwaulize kitu jamani, hivi hawa watu wanajielewa kweli? Uhamasisha nishati ya kupikia bei ya gesi ipo juu....Mtungi kapandisha kutoka kujaza elfu 17 hadi 25000 kwa mtungi wa kilo 6 halafu anahubiri nishati safi!!

Nishati safi my foot?sasa hao wananchi watapikia upepo au vinyesi vyao?nauliza kwasababu mtu aache kununua mkaa au kuni bei chee akanunue gesi wakat gesi haishikiki? Umeme ni ghali makato kibao?

Nyie machawa wa huyo mama enu ebu mshaurini atumie ubongo wake japo kidogo tu, hizi project zake za nishati safi hazitofanikiwa hata kwa chembe maana hakuna ufanisi wowote, unahamasisha watu watumie umeme kupikia kwa huu umeme wa unit 23 elfu 10? Unahamasisha watu wapikie gesi mtungi mdogo kilo 6 ni 25000 ukapanda kutoka 17k hadi 25k

Huyo mama enu amefeli kama alivyofeli kwenye kila kitu maana hana wasahauri maskini
Hii sera imebuma mapema sana!!
Ni kawaida Yako kukurupuka na Wala Huwa huelewi unachoandika Bali unaropoka tuu.

Haya soma hii mikataba hapa inlalenga kupunguza bei ya kitu gani then ufute upuuzi wako ulioandika 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_3Fcartw6K/?igsh=dTlqeDRvaTdxOHhq
 
Fa!fa!fa!
20240930_172711.jpeg
 
Niwaulize kitu jamani, hivi hawa watu wanajielewa kweli? Uhamasisha nishati ya kupikia bei ya gesi ipo juu. Mtungi kapandisha kutoka kujaza elfu 17 hadi 25000 kwa mtungi wa kilo 6 halafu anahubiri nishati safi!

Nishati safi my foot? Sasa hao wananchi watapikia upepo au vinyesi vyao? Nauliza kwasababu mtu aache kununua mkaa au kuni bei chee akanunue gesi wakat gesi haishikiki? Umeme ni ghali makato kibao?

Nyie machawa ebu mshaurini, hizi project zake za nishati safi hazitofanikiwa hata kwa chembe maana hakuna ufanisi wowote, unahamasisha watu watumie umeme kupikia kwa huu umeme wa unit 23 elfu 10? Unahamasisha watu wapikie gesi mtungi mdogo kilo 6 ni 25000 ukapanda kutoka 17k hadi 25k

Mama enu amefeli kama alivyofeli kwenye kila kitu maana hana wasahauri makini.

Hii sera imebuma mapema sana!
Umenyoosha sana.... ungetoa na ushauri nin kifanyike
 
Niwaulize kitu jamani, hivi hawa watu wanajielewa kweli? Uhamasisha nishati ya kupikia bei ya gesi ipo juu. Mtungi kapandisha kutoka kujaza elfu 17 hadi 25000 kwa mtungi wa kilo 6 halafu anahubiri nishati safi!

Nishati safi my foot? Sasa hao wananchi watapikia upepo au vinyesi vyao? Nauliza kwasababu mtu aache kununua mkaa au kuni bei chee akanunue gesi wakat gesi haishikiki? Umeme ni ghali makato kibao?

Nyie machawa ebu mshaurini, hizi project zake za nishati safi hazitofanikiwa hata kwa chembe maana hakuna ufanisi wowote, unahamasisha watu watumie umeme kupikia kwa huu umeme wa unit 23 elfu 10? Unahamasisha watu wapikie gesi mtungi mdogo kilo 6 ni 25000 ukapanda kutoka 17k hadi 25k

Mama enu amefeli kama alivyofeli kwenye kila kitu maana hana wasahauri makini.

Hii sera imebuma mapema sana!
Msukuma aliwauliza kuna magari mangapi ya wakubwa na wahamasishaji wa clean energy yanatumia gas, wakabaki kushangaana wao kwa wao
 
Niwaulize kitu jamani, hivi hawa watu wanajielewa kweli? Uhamasisha nishati ya kupikia bei ya gesi ipo juu. Mtungi kapandisha kutoka kujaza elfu 17 hadi 25000 kwa mtungi wa kilo 6 halafu anahubiri nishati safi!

Nishati safi my foot? Sasa hao wananchi watapikia upepo au vinyesi vyao? Nauliza kwasababu mtu aache kununua mkaa au kuni bei chee akanunue gesi wakat gesi haishikiki? Umeme ni ghali makato kibao?

Nyie machawa ebu mshaurini, hizi project zake za nishati safi hazitofanikiwa hata kwa chembe maana hakuna ufanisi wowote, unahamasisha watu watumie umeme kupikia kwa huu umeme wa unit 23 elfu 10? Unahamasisha watu wapikie gesi mtungi mdogo kilo 6 ni 25000 ukapanda kutoka 17k hadi 25k

Mama enu amefeli kama alivyofeli kwenye kila kitu maana hana wasahauri makini.

Hii sera imebuma mapema sana!
Gesi tunayotumia inaagizwa toka nje sisi hatuna gesi ya matumizi yetu kikamilifu hadi hapo wenye gesi watakapo amua vinginevyo na huenda inaenda kwao chini kwa chini cha ajabu unaweza ukaona yanayo fanyika huku kwenye machimbo yao ya gesi ukiwa uingereza kwa kutumia mitambo liyosimikwa huko uingereza.

I like technology changes similarly to adaptability skills but hate to deal with smart people when am not smart

Mwl Nyerere, (baba wa Taifaz), alitupa waosia kwamba tuelimishe kwanza watu wetu wakisha elimika ndiyo tujihusishe na madini.

Swali fikirishi je watu wetu wamelimika na kama wamepata elimu ya uhakika mbona hawajitegemei kwenye hii miradi mikubwa sawa hawana mitaji kwanini wanaahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data kwa kuingia mikataba ya siri na mibovu?

Mtu ambaye hana ufahamu hawezi kuingia mikataba ya siri na mibovu, unapo fanya kitu kwa siri ina maana unakuwa na ufahamu wa kutosha.

Mimi nilipo ona kwamba mitambo ya kuchunguza kinachoendelea huko kwenye utafiti wa machimbo ya gesi iko uingereza nilisikia harufu ya panya, (I smelled a rat that there is something fishy). Let us cross our fingers for the prosperous of our Nation
 
Back
Top Bottom