Mnaishi vipi na wanawake wenu wakiwa wabinafsi?

Mnaishi vipi na wanawake wenu wakiwa wabinafsi?

Lakini pia kuna Tabia za Wanaume kutumia pesa zao vibaya huku wakitegemea za Nwanamke. Hii hali inakela ndio maana mwanamke anajiwekea kaubahili ili ije kumsaidia baadae
of course, hi kweli ila sio wote wengine tupo serious na maisha ukiona wife analeta uswahili kama huu lazima uje juu
 
Ukiona unataka kuanza kushindana na mke wako leo ukinunua sukari kesho yeye anunue unga ujue bado hujawa mwanaume rudi kwa baba yako akulee upya ili uwe mwanaume, maana hata ukibaki kwenye hiyo ndoa hakuna kitakachoendelea mwisho wake ni kuvunjika tu.

Contribution ya mwanaume kwenye familia siku zote lazima iwe kubwa hata huko USA kwenye 50/50 bado mwanaume mchango wake utazidi tu, cha muhimu ni kuongea nae kuweka plan mezani yeye mwenyewe atatoa kwa hiyari yake na siyo kutaka kushindana nae
 
Ukiona unataka kuanza kushindana na mke wako leo ukinunua sukari kesho yeye anunue unga ujue bado hujawa mwanaume rudi kwa baba yako akulee upya ili uwe mwanaume, maana hata ukibaki kwenye hiyo ndoa hakuna kitakachoendelea mwisho wake ni kuvunjika tu.

Contribution ya mwanaume kwenye familia siku zote lazima iwe kubwa hata huko USA kwenye 50/50 bado mwanaume mchango wake utazidi tu, cha muhimu ni kuongea nae kuweka plan mezani yeye mwenyewe atatoa kwa hiyari yake na siyo kutaka kushindana nae
Mkuu sijashindana nae nimeset kibiashara kidogo ili service ndogo ndogo azipate sasa nazo pia hataki zisolve nini faida yake?
 
mkuu ulianzaje kumpa mwanamke chanel ya pesa!? mwanamke mpeleke kozi y chelehan t il akikuzngua mbelen atawasaidia hata watt wako kuwashonea vilaka nguo zikitatuka, ova
 
Mkuu sijashindana nae nimeset kibiashara kidogo ili service ndogo ndogo azipate sasa nazo pia hataki zisolve nini faida yake?
Muulize plan yake ya kusave pesa ni ipi atakueleza unaweza kuona mtu ni mbinafsi kumbe anamalengo fulani anataka kuyafikia kwa faida ya familia, mpe muda uangalie matokeo ya anachotaka kufanya ni nini, na wewe timiza wajibu wako , ukikwama mwambie leo sina kitu kabisa sidhani kama na yeye atakubali mlale njaa
 
Muulize plan yake ya kusave pesa ni ipi atakueleza unaweza kuona mtu ni mbinafsi kumbe anamalengo fulani anataka kuyafikia kwa faida ya familia, mpe muda uangalie matokeo ya anachotaka kufanya ni nini, na wewe timiza wajibu wako , ukikwama mwambie leo sina kitu kabisa sidhani kama na yeye atakubali mlale njaa
ukifuatilia comments za hapo juu utaona nimemuuliza hajajibu kitu.
 
Mkuu ndivyo walivyo! Wewe ukioa amini tu na zingatia kuwa majukumu ya kumtunza mke na watoto wako ni yako Mwanamme! Siyo ya Mkeo,hata kama ana hela kiasi gani.
 
Duh changamoto sana, yani utadhani ni pepo fulani ivi uko nalo nyumbani.
Shenzi shenzi shenzi mwache aende zake

Mkioana mnakua mwili mmoja inakuaje lijitu halitaki kushare ila linataka vya mwanamume

Halioni hata aibu af upumbavu na ufwalalast wao watakwambia real gentleman anatakiwa aprovide .... kudadek arudi kwa babake .... usikae na mwanamke chumaulete
 
Mkuu ndivyo walivyo! Wewe ukioa amini tu na zingatia kuwa majukumu ya kumtunza mke na watoto wako ni yako Mwanamme! Siyo ya Mkeo,hata kama ana hela kiasi gani.
Tukiendelea kuwa hivi kaka tutaendeleza kizazi cha kijinga chenye wanawake wa ajabu.

Akifanya kazi alete hela asipofanya kazi azalishe atunze na kusave unayoileta home period.
 
Kwani huu utaratibu wa cha mwanaume chenu cha mwanamke chake umetoka wapi? No hii kitu sijapenda.

Wife kaanza kushika hela hataki niguse hata mia wala itumike kwa kununua hata robo ya sukari. Kachonga kibubu anaiweka humo zote.

Daah leo nimemkoromea kaanza kumaindi nimemwambia akitaka hayo maisha arudi kwao.
Unamkoromeaje Shetani ? Wanawake n wabinafsi kwa asili. Nunua kila kitu, lipia Kodi, bills, ada chakula ili maisha yasonge. Usijisumbue kudai au kutaka haki. Haki wanayo wao. Hata akigoma kupika,, kufua nk usimpige. Ishi naye kama anaishi na kichaa. Ukishindana naye dunia itakuona una tatizo.
 
Wengi wenu mnafanya makosa pale mwanzo kabisa wakati mnaanza mahusiano yenu. Mnaingia kwa gia za kujifanya mabosi sijui responsible boyfriend na usimp mwingine kibao.

Hata kama umemkuta mwanamke kipindi hana kipato usimjengee fikra kwamba sio wajibu wake kujihusisha kwa namna yoyote kwenye suala la ustawi wa kiuchumi wa familia.
 
Unamkoromeaje Shetani ? Wanawake n wabinafsi kwa asili. Nunua kila kitu, lipia Kodi, bills, ada chakula ili maisha yasonge. Usijisumbue kudai au kutaka haki. Haki wanayo wao. Hata akigoma kupika,, kufua nk usimpige. Ishi naye kama anaishi na kichaa. Ukishindana naye dunia itakuona una tatizo.
Ishi naye kama unaishi na kichaa, wewe tumia akili yeye muache atumie uwehu na ubinafsi, tena uwe na amani, hapo maisha yatasonga.
 
Hao watu tunaishi nao kwa akili Sana, ni Uvumilivu, busara na Akili kubwa ya Kuwaangalia watoto nje ya hapo divorces zingekuwa nyingi Sana...
 
Wengi wenu mnafanya makosa pale mwanzo kabisa wakati mnaanza mahusiano yenu. Mnaingia kwa gia za kujifanya mabosi sijui responsible boyfriend na usimp mwingine kibao.

Hata kama umemkuta mwanamke kipindi hana kipato usimjengee fikra kwamba sio wajibu wake kujihusisha kwa namna yoyote kwenye suala la ustawi wa kiuchumi wa familia.
Hujawahi kuniangusha
 
Pole sana mkuu, achana naye huyo hajitambui kama bado hujaowa usiowe siku ukiuumwa hato kusaidia tafuta mwengine mbona wanawake wapo kibao kigezo kikuu cha mwanamke mzuri ni kujali asipo kujali usiowe utakuja hata kuogongewa ndani chukua huu ushauri
 
Back
Top Bottom