Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.

Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.

Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!

99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.

Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.

Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?

Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.

Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
 
Lakini blaza, we si hua unasema unaishi uswahilini kwenye kachumba kamoja na juzi kdg panya road akuibie tekno yako iliochoka ikabd upige ukuta kichwa?

Sasa kwa hiyo hali yako utaweza kweli kuhangaika kutafta mke anaefaa kuliwa boss?

Wote wanaokazwa ukiona walikua at least wako kwenye fwedha, we unazo?
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa...
mke wa masanja anakosa na dogo pia ana kosa. mke wa masanja n mtu mzma weny akili timamu nadhan alikuwa anajua anafny nn na marehem pia alikuwa anajua anafnya nn kiufup tumsbur mwny mke wake afanye maamuzi anayiisi n sahihi...

lakini hili swala alibadlishi et uchunguz usipite uchunguz lzm upite mkuu.
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa...
Angalau leo umeandika kitu cha maana.😜. Usinipopoe🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Middle class wetu lini mtarudi chini kutoka kwenye vi ivory towels uchwara?,hii ni suspected murder case, ni police case why tusiwape pressure police kufanya kazi zao kisheria ili ukweli ujulikane, nchi hii tuna murders wengi who are still roaming our streets kutokana na kukosa umakini wa guy's in uniforms na uzuzu wa working class, yaani tayari hii case wameshaamua na police nao washatujua ni watu wa mihemko nao watapitia humo humo, (suspect aliyejinyonga/kuuliwa alikua ni mzinzi, file closed na maisha yaendelee),matukio haya yanahitaji proper statements na response kutoka police
 
Middle class wetu lini mtarudi chini kutoka kwenye vi ivory towels uchwara?,hii ni suspected murder case, ni police case why tusiwape pressure police kufanya kazi zao kisheria ili ukweli ujulikane, nchi hii tuna murders wengi who are still roaming our streets kutokana na kukosa umakini wa guy's in uniforms na uzuzu wa working class, yaani tayari hii case wameshaamua na police nao washatujua ni watu wa mihemko nao watapitia humo humo, (suspect aliyejinyonga/kuuliwa alikua ni mzinzi, file closed na maisha yaendelee),matukio haya yanahitaji proper statements na response kutoka police
Huyu hana akili even though kila mara ujiona ni extra ordinary!! Mpaka hapo asha conclude ya kua "Katibu" ni mzinzi kwa kutumia ushahidi wa yale maandishi ambayo obviously hana evidence kayaandika nani!!

Sema nini, tunaishi naye hivo hivo.
 
Kukemea ukiwa na evidence ni muhimuuu, mie mekuwa nikisikia ana kamba ndefu sana ya mipango kando, wasanii, wanajamii na hata kondoo wake ana*7=wapa&huduma hiyo. Kwa kuwa nimesikia ni vigumu kukemea bora ngeona live bila chenga
 
Kwa namna yeyote ile Kama huyo katibu aliwahi kulala na mama mchuu akiwa ameshaolewa na masanja kifo ni stahiki yake.

Kwa kuuwawa au kujiua...vyovyote hatakiwi kutembea tena juu ya uso wa hii dunia
 
Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?
Masanja atafute Katibu wa kike sasa
 
Back
Top Bottom