Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Vipi mkuu, wewe hujawahi kukaza mke wa mtu?
Wengi 'ninaowakaza' mwanzoni huniambia kuwa wako 'Single' au Wameachana na Wanaume wao ila baadae huamua Kufunguka Kwangu kuwa wana Mabwana na Mimi haraka sana huamua Kuachana nao.
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.

Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.

Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!

99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.

Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.

Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?

Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.

Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
point mkuu!!
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.

Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.

Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!

99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.

Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.

Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?

Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.

Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
Lakini Genta, wewe mwenyewe umekiri (na umetaja) kuwa huyu ni dogo. Unafikiri kama kadhurumiwa (kauwawa), alistahili adhabu hiyo?

Kwa umri wake, huyo alikuwa wa kukanywa tu, asiposikia mpeleke kwenye vyombo vya sheria. Unahisi asingeaacha?

Halafu wengine wanasema, mama alikuwa anamfuata dogo nyumbani kwake, na mama ni mkubwa kwa dogo kwa umri (licha ya ukubwa wa madaraka). Je, huoni kuwa huo ulikuwa ni ushawishi (na pengine kulazimishwa) kulikopelekea dogo kuingia kwenye zinaa?

Au je, hatuwezi kufikiria (kudhania) kuwa dogo alikubali ombi la mama ili mama asimfanyie visa na hivyo kupoteza kibarua? Anyway, hayo ni mawazo yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mke wa masanja anakosa na dogo pia ana kosa. mke wa masanja n mtu mzma weny akili timamu nadhan alikuwa anajua anafny nn na marehem pia alikuwa anajua anafnya nn kiufup tumsbur mwny mke wake afanye maamuzi anayiisi n sahihi...

lakini hili swala alibadlishi et uchunguz usipite uchunguz lzm upite mkuu.
Alishasema hili nalo litapita so litapita
 
Lawama zote ziende kwa mke wa masanja.

Alikuwa anashika  KOLA ya Mchungaji na mikono iliyotoka kushika manii ya hawara.

Katibu hana kosa, aliyepaswa kufa ni huyo mwanamke asiyejiheshimu.

Mwanamke kama mke wa pastor alikuwa anaandaa hata sacrament ya meza ya Bwana huku anazini.

Anachukua vitu vya madhabahu akiwa mchafu.

Niamini tu kuwa atakuwa na wanaume wengine wa nje pia.

Ngoja niishie hapa naona ninakoelekea ni kubaya zaidi
Ukimuona Mke wa mtu kaharibika ujue Mume wake kaoza zaidi.. Masanja amevuna alichopanda kwenye ndoa yake.. Mimi namalumu Masanja mwenyewe kama kichwa cha ndoa yake amekuwa mfano mbaya kwa mke wake na kiongozi wa hovyo wa kanisa lake.
 
Watu wanasikitikia kifo kwa sababu katika maisha haya tunayoyajua kifo ni final.

Yani hata kama unaamini alifanya uhuni, na uhuni ni mbaya, ni bora angeishi na kupata nafasi ya kubadili huo uhuni afanye mazuri.

Sasa amefariki, amepoteza nafasi zote za kubadili huo uhuni.

Kama kweli akifanya uhuni na kama kweli uhuni huo ni mbaya.

Kwa nini hili linakuwa gumu sana kuelewa?

Simple empathy, please.

Kwa nini Watanzania wengi ni makatili sana, hawana huruma wala ustaarabu, wakijificha katika kichaka cha haki?

Why beat up a dead body?

The fellow is dead already, have some mercy.
Ukiachana na yote hayo, wewe ukweli wa tukio hili una kuingia akilini?

Ni conspiracy theory tu.
 
Ukimuona Mke wa mtu kaharibika ujue Mume wake kaoza zaidi.. Masanja amevuna alichopanda kwenye ndoa yake.. Mimi namalumu Masanja mwenyewe kama kichwa cha ndoa yake amekuwa mfano mbaya kwa mke wake na kiongozi wa hovyo wa kanisa lake.
Wabongo punguzeni roho mbaya na ujuwaji, wewe unamjuwa Masanja? au Bongo mafanikio ni lazima yaambatane na chuki?

Namjuwa huyo dogo tangu kipindi anatafuta ela ya kula kwa kufanya PA ya kumbe za muziki kwa kupiga na sound mitaani kufanya promo ya show.

Mafanikio ya kimaisha isigeuke kuwa kama laana kwetu.
 
Wabongo punguzeni roho mbaya na ujuwaji, wewe unamjuwa Masanja? au Bongo mafanikio ni lazima yaambatane na chuki?

Namjuwa huyo dogo tangu kipindi anatafuta ela ya kula kwa kufanya PA ya kumbe za muziki kwa kupiga na sound mitaani kufanya promo ya show.

Mafanikio ya kimaisha isigeuke kuwa kama laana kwetu.
Achana na huyo mtu vitu vingine ibaki kuwa siri nachoweza kukwambia tu wachungaji wa kweli hapo tz ni wachache sana wengine wote wameoza. usitake kunijua mimi ni nani na kwanini nimekwambia hivyo endelea kukaza shingo.
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.

Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.

Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!

99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.

Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.

Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?

Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.

Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
Dah mchungaji hakuongozwa na roho mtakatifu kushtukia mchongo?
 
Achana na huyo mtu vitu vingine ibaki kuwa siri nachoweza kukwambia tu wachungaji wa kweli hapo tz ni wachache sana wengine wote wameoza. usitake kunijua mimi ni nani na kwanini nimekwambia hivyo endelea kukaza shingo.
Masanja ni mjasirialia dini tu kama wengine, lakini tusiwanenee yasiyo sahihi.
 
Wengi 'ninaowakaza' mwanzoni huniambia kuwa wako 'Single' au Wameachana na Wanaume wao ila baadae huamua Kufunguka Kwangu kuwa wana Mabwana na Mimi haraka sana huamua Kuachana nao.
Kwahiyo kwamfano ikitokea ukafumaniwa KABLA mwanamke hajakufungukia kama yeye ni mke wa mtu, utakua radhi kuuawa?
 
Inatakiwa kufaminia liwe kusa la kufungwa miaka mingi. Yeyote anayefumania au kuhusika kupanga fumanizi anaharibu faragaha na furaha za watu wazima waliokubaliana katika mapenzi yao.
Ni sawa na Serikali kumfunga Mtu aliyeua kisa kafumania. Sheria Ziwekwe. ukifumania Ukamuua Mtu HAUNA KOSA...[emoji1787][emoji1787]
 
Kuwa katika mapenzi na mtu unayempenda haipaswi kuwa kosa.
mke wa masanja anakosa na dogo pia ana kosa. mke wa masanja n mtu mzma weny akili timamu nadhan alikuwa anajua anafny nn na marehem pia alikuwa anajua anafnya nn kiufup tumsbur mwny mke wake afanye maamuzi anayiisi n sahihi...

lakini hili swala alibadlishi et uchunguz usipite uchunguz lzm upite mkuu.
 
Mke wa mtu ni mtu mzima na uamuzi wa kutembea na nani ni wake mwenyewe
Popoma hapo umepatia kabisa ni ujinga kua na huruma na mtu anae tembea na wake za watu hawa watu ndo sababu kuu kila siku tunasikia mauaji ....tukemee hii tabia na watu waheshimu ndoa ...
 
Huu ni mtazamo wa kisokwe umeandika hapa, sio mtazamo wa binadamu aliyestaarabika wa karne ya 21.
Kwa namna yeyote ile Kama huyo katibu aliwahi kulala na mama mchuu akiwa ameshaolewa na masanja kifo ni stahiki yake.

Kwa kuuwawa au kujiua...vyovyote hatakiwi kutembea tena juu ya uso wa hii dunia
 
Huu ni mtazamo wa kisokwe umeandika hapa, sio mtazamo wa binadamu aliyestaarabika wa karne ya 21.
Hahahahah kula tunda kimasihara
Sorry mwenyewe nimejishtukia kwa huo ukatli
 
Lete Maneno......
By JK Wa Msoga Chalinze Tanzania
 
Back
Top Bottom