Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Vipi mkuu, wewe hujawahi kukaza mke wa mtu?
Wengi 'ninaowakaza' mwanzoni huniambia kuwa wako 'Single' au Wameachana na Wanaume wao ila baadae huamua Kufunguka Kwangu kuwa wana Mabwana na Mimi haraka sana huamua Kuachana nao.
 
point mkuu!!
 
Lakini Genta, wewe mwenyewe umekiri (na umetaja) kuwa huyu ni dogo. Unafikiri kama kadhurumiwa (kauwawa), alistahili adhabu hiyo?

Kwa umri wake, huyo alikuwa wa kukanywa tu, asiposikia mpeleke kwenye vyombo vya sheria. Unahisi asingeaacha?

Halafu wengine wanasema, mama alikuwa anamfuata dogo nyumbani kwake, na mama ni mkubwa kwa dogo kwa umri (licha ya ukubwa wa madaraka). Je, huoni kuwa huo ulikuwa ni ushawishi (na pengine kulazimishwa) kulikopelekea dogo kuingia kwenye zinaa?

Au je, hatuwezi kufikiria (kudhania) kuwa dogo alikubali ombi la mama ili mama asimfanyie visa na hivyo kupoteza kibarua? Anyway, hayo ni mawazo yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alishasema hili nalo litapita so litapita
 
Ukimuona Mke wa mtu kaharibika ujue Mume wake kaoza zaidi.. Masanja amevuna alichopanda kwenye ndoa yake.. Mimi namalumu Masanja mwenyewe kama kichwa cha ndoa yake amekuwa mfano mbaya kwa mke wake na kiongozi wa hovyo wa kanisa lake.
 
Ukiachana na yote hayo, wewe ukweli wa tukio hili una kuingia akilini?

Ni conspiracy theory tu.
 
Ukimuona Mke wa mtu kaharibika ujue Mume wake kaoza zaidi.. Masanja amevuna alichopanda kwenye ndoa yake.. Mimi namalumu Masanja mwenyewe kama kichwa cha ndoa yake amekuwa mfano mbaya kwa mke wake na kiongozi wa hovyo wa kanisa lake.
Wabongo punguzeni roho mbaya na ujuwaji, wewe unamjuwa Masanja? au Bongo mafanikio ni lazima yaambatane na chuki?

Namjuwa huyo dogo tangu kipindi anatafuta ela ya kula kwa kufanya PA ya kumbe za muziki kwa kupiga na sound mitaani kufanya promo ya show.

Mafanikio ya kimaisha isigeuke kuwa kama laana kwetu.
 
Achana na huyo mtu vitu vingine ibaki kuwa siri nachoweza kukwambia tu wachungaji wa kweli hapo tz ni wachache sana wengine wote wameoza. usitake kunijua mimi ni nani na kwanini nimekwambia hivyo endelea kukaza shingo.
 
Dah mchungaji hakuongozwa na roho mtakatifu kushtukia mchongo?
 
Achana na huyo mtu vitu vingine ibaki kuwa siri nachoweza kukwambia tu wachungaji wa kweli hapo tz ni wachache sana wengine wote wameoza. usitake kunijua mimi ni nani na kwanini nimekwambia hivyo endelea kukaza shingo.
Masanja ni mjasirialia dini tu kama wengine, lakini tusiwanenee yasiyo sahihi.
 
Wengi 'ninaowakaza' mwanzoni huniambia kuwa wako 'Single' au Wameachana na Wanaume wao ila baadae huamua Kufunguka Kwangu kuwa wana Mabwana na Mimi haraka sana huamua Kuachana nao.
Kwahiyo kwamfano ikitokea ukafumaniwa KABLA mwanamke hajakufungukia kama yeye ni mke wa mtu, utakua radhi kuuawa?
 
Inatakiwa kufaminia liwe kusa la kufungwa miaka mingi. Yeyote anayefumania au kuhusika kupanga fumanizi anaharibu faragaha na furaha za watu wazima waliokubaliana katika mapenzi yao.
Ni sawa na Serikali kumfunga Mtu aliyeua kisa kafumania. Sheria Ziwekwe. ukifumania Ukamuua Mtu HAUNA KOSA...[emoji1787][emoji1787]
 
Kuwa katika mapenzi na mtu unayempenda haipaswi kuwa kosa.
 
Mke wa mtu ni mtu mzima na uamuzi wa kutembea na nani ni wake mwenyewe
Popoma hapo umepatia kabisa ni ujinga kua na huruma na mtu anae tembea na wake za watu hawa watu ndo sababu kuu kila siku tunasikia mauaji ....tukemee hii tabia na watu waheshimu ndoa ...
 
Huu ni mtazamo wa kisokwe umeandika hapa, sio mtazamo wa binadamu aliyestaarabika wa karne ya 21.
Kwa namna yeyote ile Kama huyo katibu aliwahi kulala na mama mchuu akiwa ameshaolewa na masanja kifo ni stahiki yake.

Kwa kuuwawa au kujiua...vyovyote hatakiwi kutembea tena juu ya uso wa hii dunia
 
Huu ni mtazamo wa kisokwe umeandika hapa, sio mtazamo wa binadamu aliyestaarabika wa karne ya 21.
Hahahahah kula tunda kimasihara
Sorry mwenyewe nimejishtukia kwa huo ukatli
 
Lete Maneno......
By JK Wa Msoga Chalinze Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…