Mnajua kwanini wahaya na wachaga wamefanikiwa sana ?

Mnajua kwanini wahaya na wachaga wamefanikiwa sana ?

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Kinachowafanya wahaya na wachaga kufanikiwa katika Elimu , Biashara n.k

Ni Kwa sababu wanakumbuka Nyumbani na kutunza ile Asili yao.

Wahaya ukifia hata Marekani huwa wanahakikisha unaletwa kuzikwa kwenu .

Pia wachaga the same.

Binadamu anapatikana katika mambo mawili Energy and matter Kwahiyo ukifa matter inaondoka inabaki Energy .

Hivyo unapoenda Nyumbani au kukumbuka Nyumbani kwenu unakuwa Unavuta nishati chanya ambayo unaweza kuitumia katika Biashara zako , Kazi zako n.k .
 
Kinachowafanya wahaya na wachaga kufanikiwa katika Elimu , Biashara n.k

Ni Kwa sababu wanakumbuka Nyumbani na kutunza ile Asili yao.

Wahaya ukifia hata Marekani huwa wanahakikisha unaletwa kuzikwa kwenu .

Pia wachaga the same.

Binadamu anapatikana katika mambo mawili Energy and matter Kwahiyo ukifa matter inaondoka inabaki Energy .

Hivyo unapoenda Nyumbani au kukumbuka Nyumbani kwenu unakuwa Unavuta nishati chanya ambayo unaweza kuitumia katika Biashara zako , Kazi zako n.k .
Wahaya hawajafanikiwa, ni masikini, wana majanga na pia waache usanii
 
Kinachowafanya wahaya na wachaga kufanikiwa katika Elimu , Biashara n.k

Ni Kwa sababu wanakumbuka Nyumbani na kutunza ile Asili yao.

Wahaya ukifia hata Marekani huwa wanahakikisha unaletwa kuzikwa kwenu .

Pia wachaga the same.

Binadamu anapatikana katika mambo mawili Energy and matter Kwahiyo ukifa matter inaondoka inabaki Energy .

Hivyo unapoenda Nyumbani au kukumbuka Nyumbani kwenu unakuwa Unavuta nishati chanya ambayo unaweza kuitumia katika Biashara zako , Kazi zako n.k .
Japo mm n Mchaga ila umeandika utumbo mtupu.
Wewe nenda kwenu kila siku bila juhudi tuone kama utafanikiwa.
Hadithi zenu za kijiweni unazileta humu
 
Kinachowafanya wahaya na wachaga kufanikiwa katika Elimu , Biashara n.k

Ni Kwa sababu wanakumbuka Nyumbani na kutunza ile Asili yao.

Wahaya ukifia hata Marekani huwa wanahakikisha unaletwa kuzikwa kwenu .

Pia wachaga the same.

Binadamu anapatikana katika mambo mawili Energy and matter Kwahiyo ukifa matter inaondoka inabaki Energy .

Hivyo unapoenda Nyumbani au kukumbuka Nyumbani kwenu unakuwa Unavuta nishati chanya ambayo unaweza kuitumia katika Biashara zako , Kazi zako n.k .
🤣🤣🤣 ebu kuwa sriaz bc wahaya hawa walio kimbilia dar na kuacha umaskn wakutsha kwao, Elimu enyew bc tu kweny biashara hawapo hata 10 ya makabila enye uchumi mkubwa Tanzania sasa ebu tu fafanulie wamefanikiwaje kweny biashara na wakat wao n maskn?
 
Kinachowafanya wahaya na wachaga kufanikiwa katika Elimu , Biashara n.k

Ni Kwa sababu wanakumbuka Nyumbani na kutunza ile Asili yao.

Wahaya ukifia hata Marekani huwa wanahakikisha unaletwa kuzikwa kwenu .

Pia wachaga the same.

Binadamu anapatikana katika mambo mawili Energy and matter Kwahiyo ukifa matter inaondoka inabaki Energy .

Hivyo unapoenda Nyumbani au kukumbuka Nyumbani kwenu unakuwa Unavuta nishati chanya ambayo unaweza kuitumia katika Biashara zako , Kazi zako n.k .
Hata wanyakyusa pia!
 
Back
Top Bottom