Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Sio wa makumbusho huyoAnhaaa nimekumbuka
Dunia ina mambo mengi sana
Mkuranga najikumbuka na Yule dada Muuza Saa maarufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wa makumbusho huyoAnhaaa nimekumbuka
Dunia ina mambo mengi sana
Mkuranga najikumbuka na Yule dada Muuza Saa maarufu
Mmh king solomon kwa zile kazi..........wale wadada wakipindi kile walipataga wazee fulani walugaluga ndo wakawa wanawapiga senti zao,,, jf ilipovamiwa na vijana wa ovyo wakawalamba hao wadada na kuwaanika na asilimia kubwa walikua ni madem tu wa kawaida wa kitaa ila ukikuta thread zao jf unaweza ukaogopa hata kuzama pm,,,,,ila waliwapiga sana wazee na ndo waliokua kila siku kwenye thread zao wana wa praise na kuwa worship hao wadada,,,ila wahuni walipokuja kuwajua🤣🤣🤣Walikuwa wanakulana pia hiyo ni wazi ila Mshana kwa humu apewe maua yake yy ni king Solomon wa JF aseee 🖐️🖐️🖐️
Hizo ni I'd zake zoteeeMINOCYCLINE , The Legacy mwenyewe unayemlalamikia michezo na vitabia vyake ndiye huyu?
Wasingeweza kuuacha waliufuta mapema sanaI think ulifutwa kabisa kama sio kupigwa ban ni muda mrefu sasa Hayo ni matukio ya 2018 to 2019
Hana lolote huyo alikuwa anabebishwa tu na kutandikwa vizinga huku madogo wanajipigia bure bureWalikuwa wanakulana pia hiyo ni wazi ila Mshana kwa humu apewe maua yake yy ni king Solomon wa JF aseee 🖐️🖐️🖐️
Achana na huyo dem hata wengine pia jamaa kawala sana yaani sanaa mi kuna demu alinifuata alitaka nimshtue mshkaji afungue pm sio poa mkuuHana lolote huyo alikuwa anabebishwa tu na kutandikwa vizinga huku madogo wanajipigia bure bure
Ok my 😎😎Andaa kikombe Cha kahawa majira ya saa nane na dk 17 mchana
😃😃Tulia kijana
Wewe hukuwepo usitake kutuchimba tufukue makaburi🤣
Sure mkuu!! Ana I'd nyingineYuko na I'd nyingine I'm sure
Mbitiyaza naujanja wote kumbe alikuwa ana vuliwa pichu na katoto ka 99 walikuwa Wana tumiana photo nudes huko DM 😁😁😁😁😁😁
Basi bwana sindio ikatokea wakagombana kubabake ulianzishwa Uzi huo umejaa picha za mbitiyaza za utupu palikuwa hapatoshi mamaeee 🤣🤣🤣🤣
Watu hatukulala siku Ile Tangu siku hiyo mbitiyaza Akaanza kutoweka if mamaeee dahhh ilikuwa aibu kubwa Sana
Bad enough wakati ule Uzi unaanza mashoga zake wote walikuwa upande wake Ila baada ya zile picture kuvuja hata wale waliokuwa Wana mtetea wakaanza kukaa kando ,
Kilicho mmaliza ni kwamba alikuwa anajipa standard kumbe anavuliwa pichu na kitoto 😁😁😁😁😁😁😁
Kwa-kweli sijui, Ilikuwa ni 2018 to 2019Hii ilinipita nikiwa wapi jamani
😃😃😃😃😃😃😃😃😃Enzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
Warumi alikuwa mwanaume..ni ajabu lakini ni ukweliHahahhahahaha
Eti mishangazi mingine ambayo imeshakufa [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo unamlenga warumi au sio
Mungu amlaze mahali pema peponWarumi alikuwa mwanaume..ni ajabu lakini ni ukweli
kumbe ni lishangazi siyo, duh noma sanaEnzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
Uchokozi huokumbe ni lishangazi siyo, duh noma sana