Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Walikuwa wanakulana pia hiyo ni wazi ila Mshana kwa humu apewe maua yake yy ni king Solomon wa JF aseee πŸ–οΈπŸ–οΈπŸ–οΈ
Mmh king solomon kwa zile kazi..........wale wadada wakipindi kile walipataga wazee fulani walugaluga ndo wakawa wanawapiga senti zao,,, jf ilipovamiwa na vijana wa ovyo wakawalamba hao wadada na kuwaanika na asilimia kubwa walikua ni madem tu wa kawaida wa kitaa ila ukikuta thread zao jf unaweza ukaogopa hata kuzama pm,,,,,ila waliwapiga sana wazee na ndo waliokua kila siku kwenye thread zao wana wa praise na kuwa worship hao wadada,,,ila wahuni walipokuja kuwajua🀣🀣🀣
 
Walikuwa wanakulana pia hiyo ni wazi ila Mshana kwa humu apewe maua yake yy ni king Solomon wa JF aseee πŸ–οΈπŸ–οΈπŸ–οΈ
Hana lolote huyo alikuwa anabebishwa tu na kutandikwa vizinga huku madogo wanajipigia bure bure
 
Hana lolote huyo alikuwa anabebishwa tu na kutandikwa vizinga huku madogo wanajipigia bure bure
Achana na huyo dem hata wengine pia jamaa kawala sana yaani sanaa mi kuna demu alinifuata alitaka nimshtue mshkaji afungue pm sio poa mkuu
Ni hatari
 

Hii ilinipita nikiwa wapi jamani
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
kumbe ni lishangazi siyo, duh noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…