allesandro 2021
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 142
- 156
Kama hilo tangazo lilikuwa linakukuta nyumban bas ww ulikuwa unachapwa namba maana lilikuwa linawejwa 7:20 weekdays au ulikuwa dalasa la 2
Ha ha haaaaa.
Umenikumbusha na kipinda cha majira. Na lile ziki lake.
Time hizo nakatiza mitaa kuelekea shule.
Nafkiri kilikuwa kinaletwa saa moja na nusu.
Ila sio siri, nime miss zile old days. I wish i cud go back.
hili tangazo walishalitolea hadi wimbo
enzi hizo raha sanaHahahahaaa... Umenikumbusha ka wimbo ka tangazo la Sukari KK!
Kaliimbwa Hivi:
"KK sukari, ni sukari kijiko kimoja, thamani bora kwa pesa zaako, Sukari KK"!
Ipo ila wameondoa hio "stereeeeeeoooo"Ile jingle ya radio one mpaka leo ipo kweli
Radiiiiioo oooone streeeeeeeo na vindegendege kwa mbali [emoji3][emoji3][emoji3]
Majira ipo pia nafkiri kabla taarifa ya habari ya saa moja asubuhiMajira kilikuwa usiku baada ya michezo na habari
vita hii.Mambo vipi wanajamii.
Kwa wale vijana wenzangu tuliozaliwa enzi za Nyerere na mwinyi kuna matangazo haya utakuwa unayakumbuka. Tangazo la kwanza ni lile linaloanza hivii "Tueleze siri ya Mafanikio yako", kisha yule mrembo anajibu "Sio siri ni Levora" nakumbuka kipindi kile watu walisema kuwa yule binti ni mtoto wa tajiri Mengi.
Tangazo la Pili ni la chai jaba. Nadhani kama Diamond platnum angekuwa anafanya muziki kipindi kile wangempa hii a.k.a "Chai jaba''.
Kwa aliye na Video ama audio ya matangazo haya atuwekee hapa tujikumbushie na pia kama unayakumbuka matangazo mengine yaliyovuma enzi zile hebu tutajie hapo chini.
No ni TUSKER LAGERHapana lilikuwa tangazo la bia ya serengeti
Jamani naombeni hiyo video ya tangazo au hata link yake tafadhari. Nimemiss sana piajuzi tu hapa nilikuwa nakakumbuka hako kanyimbo[emoji16]...