Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Majira kilikuwa usiku baada ya michezo na habari
Ha ha haaaaa.
Umenikumbusha na kipinda cha majira. Na lile ziki lake.
Time hizo nakatiza mitaa kuelekea shule.
Nafkiri kilikuwa kinaletwa saa moja na nusu.
Ila sio siri, nime miss zile old days. I wish i cud go back.
 
Ile jingle ya radio one mpaka leo ipo kweli
Radiiiiioo oooone streeeeeeeo na vindegendege kwa mbali πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Unaishi Toto jijini mitaani, inahitaji kiburudisho vuta sweet menthol ni yako!!

Iwe mchana au usiku upite jangwani au porini safari ni safari ...safari lager.
 
Kijiji kimeshinda vita dhidi ya malaria, Mwenyekiti tueleze mliwezaje kushinda
vita hii.
 
Mshindi sabuni yenye nguvuuuu
Yenye kutakatisha kuliko zoteeee
Mshindii eeeeheee
Mshindi eeehe eeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…