Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Miaka ile kanda ya kaskazini iligubikwa na matukio mazito ya ujambazi, nakumbuka ilikuwa haupiti mwezi bila tukio kubwa la ujambazi kutokea.
Mnakumbuka wizi wa benki ya NMB pale Mwanga kama sikosei? Mnamkumbuka kamanda Chico?
Mnakumbuka kuna battle ya risasi ya majambazi na polisi ilidumu kwa masaa kadhaa pale Arusha mpaka wanajeshi wakaingilia kati?
Mengi yalisemwa kwamba Wakenya ndio waliokuwa wanakuja Tanzania kupiga matukio. Unakumbuka tukio lipi? Njoo utujuze..
Mnakumbuka wizi wa benki ya NMB pale Mwanga kama sikosei? Mnamkumbuka kamanda Chico?
Mnakumbuka kuna battle ya risasi ya majambazi na polisi ilidumu kwa masaa kadhaa pale Arusha mpaka wanajeshi wakaingilia kati?
Mengi yalisemwa kwamba Wakenya ndio waliokuwa wanakuja Tanzania kupiga matukio. Unakumbuka tukio lipi? Njoo utujuze..