Sio walisema, ni kweli zilikiwa za Late Rwakarare bt jamani kweli mwenye nacho akifa na uwekezaji hutoweka😌Miaka hio ya 2000s hadi 2010s
Zilikuwa shule flani za kishua na ndoto ya kila mtoto kwenda
Kuna wakati walisema ni za yule mama Lwakatare
Sijui zimeishia wapi siku hizi?
Mmh we mkaka mbona Kenton ilikuwa TABATAKulikuwa na St. Mary’s ya Mbezi Beach, Tabata na Mbagala.
Afu shule ndugu na St. Mary’s ilikuwa Kenton sijui kama mnaikumbuka? Ilikuwa Mwenge karibu na Ofisi za TRA
Pia kulikuwaa na St. Mathew nao walikuwa vizuri kiasi chake
Hata huko Mwenge ilikuwepoMmh we mkaka mbona Kenton ilikuwa TABATA
Halafu wanawapeleka kwa nia ya kujua Kiingereza tu. Daah😀Miaka hiyo ilikuwa St. MARY'S, Kenya na Uganda, yaani wazazi walikuwa wanapeleka watoto wao Kenya na Uganda balaa...
Kwani ile St Mary's mazinde juu sio ya Rwakatare?Sio walisema, ni kweli zilikiwa za Late Rwakarare bt jamani kweli mwenye nacho akifa na uwekezaji hutoweka😌
Ile ya Igoma pale Mwanza imekufa ilikimbiza sana pale mjini.Miaka hio ya 2000s hadi 2010s
Zilikuwa shule flani za kishua na ndoto ya kila mtoto kwenda
Kuna wakati walisema ni za yule mama Lwakatare
Sijui zimeishia wapi siku hizi?
Ile sio yakeKwani ile St Mary's mazinde juu sio ya Rwakatare?
Yes ipo forest. Bt ina struggle sana dohHata Mbeya ipo St Mary