Mnalionaje hili la wakati wa kudamshi bado sekunde chache mtoto anaamka anataka kuanguka kitanda

Mnalionaje hili la wakati wa kudamshi bado sekunde chache mtoto anaamka anataka kuanguka kitanda

5525

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
5,412
Reaction score
6,279
Nimeona nililete hapa kwa wataalamu wa mambo yetu kwa wale walio kwenye ndoa labda tayari wameshapata mtoto 1 ivi au zaidi.

Kuna wakati unakuwa na hamu sana na mama watoto mpaka unafika ule wakati unakuwa upo kileleni labda bado kama sekunde kadhaa kukamilisha taratibu mtoto anaamka na anatambaa ukingoni mwa kitanda anataka kuanguka na huku analia ambapo hubidi ukatishe kula tunda ili umuwahi mtoto umtulize apewe nyonyo ambapo utakuta wakati mwengine mtoto anataka kucheza ivi wala hana mpango wa kutulia kwa muda ule.

Hivi munakuwa muna solve vipi hili mana utakuta mara nyingi ukikutana na mama watoto labda nyakati za usiku hivi baby huamka tayari kelele kabla ya kukamilisha taratibu.

Naomba kuwasilishwa watu wa ukumbi huu

Naomba kuwasilisha
 
Mtoto na nyonyo lake wewe na papuchi yako ila mzime taa na muwashe kamshumaa ili mwanga uwe hafifu. ila kibaya ni pale ambapo mama anapolia kwa utamu wa dudu na mtoto anapolia kwa utamu wa nyonyo, inabidi nawe uanze kulia kile kilio cha kula miwa, hatari na nusu.
 
Hap ndio utakapogundua umuhimu wa dada wa kazi...
 
Kuna muda unafrai mtoto achelewe kulala ili akilala amelala kweli kweli lakini mtoto saa 12 jioni ndo analala hapo hesabu maumivu. Labda upige game 🌃 mare.
 
Mkuu unaelekea una chumba kimoja, na kwa wale wenye vyumba zaid ya kimoja na housegirl juu wana comment wapi ?
 
Mtoto hatakiwi kulala kitanda chenu. Inatakiwa kuwa na kitanda kidogo cha mtoto pembeni ili kusaidia kutombemenda mtoto. maana unakuta mama anachinja kobe mtoto analia anaunganisha kumnyonyesha. wenzetu huku ulaya mtoto analala chumba tofauti na wazazi kuepusha kubemenda watoto.
 
Mtoto akiwa mdogo huwezi kumpa msichana wa kazi lazima mulale nae pamoja
Temporary kunapotokea emergence kama hizo ni ruksa kumpa dada akusaidie ili ndoa nayo iendelee...
 
Mtoto hatakiwi kulala kitanda chenu. Inatakiwa kuwa na kitanda kidogo cha mtoto pembeni ili kusaidia kutombemenda mtoto. maana unakuta mama anachinja kobe mtoto analia anaunganisha kumnyonyesha. wenzetu huku ulaya mtoto analala chumba tofauti na wazazi kuepusha kubemenda watoto.
Mkuu kumbemenda mtoto sio huko inapomaanisha labda kama umetoka kutinduana na mtu wa nnje alafu ukaja kumshika mtoto na uchafu wa nnje
 
Temporary kunapotokea emergence kama hizo ni ruksa kumpa dada akusaidie ili ndoa nayo iendelee...
Sasa mkuu piga esabu mfano unaamka usiku unataka kupiga mzigo mtoto usiku analia unawezaje kumpeleka mtoto kwa house girl naongea from my experience coz nipo kwenye ndoa
 
Mtoto na nyonyo lake wewe na papuchi yako ila mzime taa na muwashe kamshumaa ili mwanga uwe hafifu. ila kibaya ni pale ambapo mama anapolia kwa utamu wa dudu na mtoto anapolia kwa utamu wa nyonyo, inabidi nawe uanze kulia kile kilio cha kula miwa, hatari na nusu.
Wazee wa kubet tunaiita

Both teams to score
 
Mtoto na nyonyo lake wewe na papuchi yako ila mzime taa na muwashe kamshumaa ili mwanga uwe hafifu. ila kibaya ni pale ambapo mama anapolia kwa utamu wa dudu na mtoto anapolia kwa utamu wa nyonyo, inabidi nawe uanze kulia kile kilio cha kula miwa, hatari na nusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoto na nyonyo lake wewe na papuchi yako ila mzime taa na muwashe kamshumaa ili mwanga uwe hafifu. ila kibaya ni pale ambapo mama anapolia kwa utamu wa dudu na mtoto anapolia kwa utamu wa nyonyo, inabidi nawe uanze kulia kile kilio cha kula miwa, hatari na nusu.
Khaa[emoji3][emoji3][emoji3] kweli we ni legend!
 
Write your reply...daah umenikumbusha yule single maza mwanae alikuwa anasumbua kichizi
 
Mtoto na nyonyo lake wewe na papuchi yako ila mzime taa na muwashe kamshumaa ili mwanga uwe hafifu. ila kibaya ni pale ambapo mama anapolia kwa utamu wa dudu na mtoto anapolia kwa utamu wa nyonyo, inabidi nawe uanze kulia kile kilio cha kula miwa, hatari na nusu.
Hiii imevuka stage zote za legend na wajuba...! Bado tunakutafutia level yako
 
Back
Top Bottom