KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Mwisho wasiku mkikaa kwenye vipaza sauti mnatusema tunawivu,ndio lazima tuwe na wivu haswa wivu wa maendeleo!.
Haiwezekani kila wakati ktk nafasi za uongozi mnatuletea sura zilezile kwani hamuwezi kuibua watu wengine vijana wasomi wakashika hizo nafasi..?
Nafikiri katika teuzi zenu muanze kuangalia na sifa ya uchungu katika taifa!.. au mnalipana fadhira kwasababu tu walisimama nanyi katika kampeni..?
Au mnafadhiriana kwasababu mnatengeneza mzunguko wa kutawala watu fulani tu..?
Makosa mnayoyafanya leo yatatupiga baadae,mambo mengine tusiangalie wewe ni nani bali taifa ni nini..?
Sio kwamba hawapo wenye sifa kushika nyadhifa hizo,wapo isipokuwa mwaleta ujuanifu hadi ktk ngazi ya taifa!.
Kauli za nchi inawenyewe sio za kubeza ni moja ya onyo Kali inayotakiwa kufanyiwa kazi haraka sana. Matabasam yenu ipo siku yatageuka kilio maana mnaitabasamia njiti ya kiberiti inayoenda kuwaka!.
Itoshe kusema ngazi za uongozi kitaifa sio Kama chama cha upatu,nanyi watu wa magamba jifungieni na mtathimini nchi yenu,kisha mje na mpango mkakati alasivyo kichuguu kinachooteshwa kikiwazidi tu mtashindwa kuking'oa.
By jitu.
Haiwezekani kila wakati ktk nafasi za uongozi mnatuletea sura zilezile kwani hamuwezi kuibua watu wengine vijana wasomi wakashika hizo nafasi..?
Nafikiri katika teuzi zenu muanze kuangalia na sifa ya uchungu katika taifa!.. au mnalipana fadhira kwasababu tu walisimama nanyi katika kampeni..?
Au mnafadhiriana kwasababu mnatengeneza mzunguko wa kutawala watu fulani tu..?
Makosa mnayoyafanya leo yatatupiga baadae,mambo mengine tusiangalie wewe ni nani bali taifa ni nini..?
Sio kwamba hawapo wenye sifa kushika nyadhifa hizo,wapo isipokuwa mwaleta ujuanifu hadi ktk ngazi ya taifa!.
Kauli za nchi inawenyewe sio za kubeza ni moja ya onyo Kali inayotakiwa kufanyiwa kazi haraka sana. Matabasam yenu ipo siku yatageuka kilio maana mnaitabasamia njiti ya kiberiti inayoenda kuwaka!.
Itoshe kusema ngazi za uongozi kitaifa sio Kama chama cha upatu,nanyi watu wa magamba jifungieni na mtathimini nchi yenu,kisha mje na mpango mkakati alasivyo kichuguu kinachooteshwa kikiwazidi tu mtashindwa kuking'oa.
By jitu.