Mnamkumbuka huyu Mwamba aliyevaa sare za jeshi kwenye mkutano wa Chadema na kupelekea kusakwa kwa udi na uvumba?

Mnamkumbuka huyu Mwamba aliyevaa sare za jeshi kwenye mkutano wa Chadema na kupelekea kusakwa kwa udi na uvumba?

Jeshi wakiamua kusaka mavibaka na wendawazimu wanaovaa na kufananisha uniform zao huku yakiwa hata sungu sungu hawajacheza mnalalamika. Ona Sasa hilo jinsi linavyodhalilisha taaluma ya ujeda ambayo husotewa kwa jasho la kifo.Nashauri majeshi yote yaunde kolabo ya kusaka majitunyote yanapiga Mavazi ya majeshi yoyote kuanzia zimamoto, uhamiaji, polisi, magereza, jku, jwt, Jkt,na wale wanaolinda wanyama huko porini
hapo kalidhalilisha vp
 
Tafsiri ya Jeshi la Wananchi ni ipi.....au hili jina ni kiini macho...pengine ni jeshi la watu fedengengsky?
 
Hawakumfunga kwenye viroka kweli huyu!!!
Afadhali mkuu umerejesha avatar picha yako ya awali na kuipumzisha ya yule mzee wa the lords must be crazy
 
Jeshi wakiamua kusaka mavibaka na wendawazimu wanaovaa na kufananisha uniform zao huku yakiwa hata sungu sungu hawajacheza mnalalamika. Ona Sasa hilo jinsi linavyodhalilisha taaluma ya ujeda ambayo husotewa kwa jasho la kifo.Nashauri majeshi yote yaunde kolabo ya kusaka majitunyote yanapiga Mavazi ya majeshi yoyote kuanzia zimamoto, uhamiaji, polisi, magereza, jku, jwt, Jkt,na wale wanaolinda wanyama huko porini
Nani alikuambia kuwa jeshi ni taaluma,!?
 
Back
Top Bottom