Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nataka kumtumia kama somo kwenye Kongamano la Katiba mpyaukishajua alipo unataka ukamteke au?
Chadema ndio inayotoa mwongozo wa NchiPambana na hali ya Chadema ๐ผ
ahaa,hapo sawa Kamanda nusu mkate.Nataka kumtumia kama somo kwenye Kongamano la Katiba mpya
Mkuu bado haujagundua siku hizi hawana sera wala chochote cha kusimama kuelezea jamii hata mitandaoni!?ukishajua alipo unataka ukamteke au?
Lema kaitwa Simanjiro sijui kafanya nini tena yarabi !! ๐ผChadema ndio inayotoa mwongozo wa Nchi
Lete ajenda weweMkuu bado haujagundua siku hizi hawana sera wala chochote cha kusimama kuelezea jamii hata mitandaoni!?,wamebaki kutafuta aliyekuwa na link yoyote na JPM wamuanzishie thread. Ikifika uchaguzi mwakani wimbo ule ule, "tumeibiwa kura".
Sawa.Lete ajenda wewe
Col Lubinga yupo na anadunda!Miongoni mwa viongozi wa CCM enzi za Jiwe , alikuwepo Mwanajeshi mmoja akiitwa Lubinga , kiburi cha madaraka cha huyu jamaa kilipitiliza , japo hakikuvuma sana .
Sasa tunauliza tu kwamba huyu jamaa yuko wapi leo na anafanya nini ?
View attachment 2952259
Tofauti yenu na ccm ni moja wale ni mboga mboga nyie ni ugoro tupu.Miongoni mwa viongozi wa CCM enzi za Jiwe , alikuwepo Mwanajeshi mmoja akiitwa Lubinga , kiburi cha madaraka cha huyu jamaa kilipitiliza , japo hakikuvuma sana .
Sasa tunauliza tu kwamba huyu jamaa yuko wapi leo na anafanya nini ?
View attachment 2952259
Alikuwa kiongozi duni sana , tangu akiwa MbeyaCol Lubinga yupo na anadunda!
unatafuta kiki kamanda ๐Miongoni mwa viongozi wa CCM enzi za Jiwe , alikuwepo Mwanajeshi mmoja akiitwa Lubinga , kiburi cha madaraka cha huyu jamaa kilipitiliza , japo hakikuvuma sana .
Sasa tunauliza tu kwamba huyu jamaa yuko wapi leo na anafanya nini ?
View attachment 2952259
matackle yashaanza kukuwasha?Kwani umekwenda wapi na wapi kumtafuta ambako hujamkuta? Ulikuwa unamtaka wa nini.kwani umesikia familia yake ikiomba msaada popote pale wa kumtafuta. Yaani CHADEMA ninyi ndio maana mnaendelea kupuuzwa na watanzania maana hoja zenu ni za kitoto kitoto tu na umbea umbea tu. Sasa ndio hoja gani hiyo? Ndio mahitaji ya watanzania hayo? Aliyewaloga CHADEMA aliwaonea sana maana aliwaroga wakati tayari ninyi ni vichaa na manyumbu๐๐๐
Lubinga anipe kiki !unatafuta kiki kamanda ๐