CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Aliyejaribu kuiua Chadema tena kwa kutumia serikali nzima na vyombo vyake vyote kashindwa hadi akaamua kufa kibudu na kufukiwa kule chato.Mkuu, chadema ilishajifia long time ago kimebaki kiwiliwili tu.
Tunawashauri walete hoja za msingi zenye kusisimua bongo za watu kujadili, lakini wapi. Wao wamekalia vioja na porojo za kimbeambea tu.
Too bad [emoji107] [emoji25]