Mnamkumbuka Lubinga wa CCM? Leo yuko wapi?

Mkuu, chadema ilishajifia long time ago kimebaki kiwiliwili tu.
Tunawashauri walete hoja za msingi zenye kusisimua bongo za watu kujadili, lakini wapi. Wao wamekalia vioja na porojo za kimbeambea tu.
Too bad [emoji107] [emoji25]
Aliyejaribu kuiua Chadema tena kwa kutumia serikali nzima na vyombo vyake vyote kashindwa hadi akaamua kufa kibudu na kufukiwa kule chato.
 
O
Hizi ndio hoja za chadema,chama cha mbowe.kwakweli hawa hawastahili kupata hata kijiji kimoja kuongoza.
 
A lot of unhelpful explanations.
 
Mungu aendelee kumrehemu, atakuwa yupo kwenye insta anangalia mapokezi ya BASHITE Arusha.
 
Kwa wasio Jua mwaka kuelekea 2015 kabla ya uchaguzi wa CCM JWTZ waliamua kabisa hawataongozwa na mtu kama Lowassa otherwise watajuwa nchi itakuwaje.

Huyu Kanali alipita nchi nzima kuwaambia Askari wote kuwa Jeshi halimtaki mtu kama Lowassa na huyu akawa mmoja ya Watu walimfanya Magufuli akawa pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…