Mnamtenga sana Manara, kumbukeni mara nyingi alivyotusaidia kushinda

Manara Huyo Aliyebinuka Kwa Staili Hiyo Au... Labda Kama Unamaanisha Mwingine. Lakini Kama Ni Huyu Public Life Tu Yupo 0 Sasa Kwenye Public Wedding Ceremony Ataongea Nini??? Si Ndio Atakua -1 kabisa
 
Chama aliyesajiliwa kwa pesa nyingi anawekwa benchi manara ni nani yanga chanzo cha kutoswa alikutwa jikoni kwa gharibu GSM!
 
Usaliti ni kitu kibaya sana.
Vijana wa Leo ogopeni usaliti.

Manara.
Chama.
Mkude
Baleke.

Hawa ni mfano wa vijana wasaliti wanalipwa kutokana na Tabia zao.
Ushabiki wa Simba na yanga unaonyesha jinsi gani mlivyo na stress na wapumbavu Sasa huyo Chama, Mkude na Baleke walizaliwa ili wacheze Simba tu wakikosa nafasi Simba waache soka?
 
Ushabiki wa Simba na yanga unaonyesha jinsi gani mlivyo na stress na wapumbavu Sasa huyo Chama, Mkude na Baleke walizaliwa ili wacheze Simba tu wakikosa nafasi Simba waache soka?

Nilipoona Avator yako tu nikakumbuka
UKATILI NA UNYAMA WW HALIBYA JUU.

1. Aprili 1994 - Rais wa Rwanda Juvénal Habyarimana na Rais wa Burundi Cyprien Ntaryamira walivyouwawa kwenye ndege kwa pamoja wakitokea Dsm
2. Nikawakumbuka M23 wanavyotendea wa Kongo.
3. Mauaji ya Goma kivu na mashariki mwa Kongo.
4. Rais M7.
5. Mauaji ukatili na Damu.
6. IRP mchungaji Mtikila
7. HUYO MWENYE PICHA KUPOKEA CHA MOTO KUTOKA KWA JK WA MSOGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…