Kahiyo hapo ndio anapiga mdudu sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kahiyo hapo ndio anapiga mdudu sio?
Hao wenzako Wana ajira,wewe mwaka wa 6 upo jobless
Hapa sio kwa Manka, Nkuhungu ,Kizota ,Dodoma kweli?!
Manara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
Chama aliyesajiliwa kwa pesa nyingi anawekwa benchi manara ni nani yanga chanzo cha kutoswa alikutwa jikoni kwa gharibu GSM!Manara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
kumbe anakula kitimoto huyu😀
Mwamba anajila tena kajiwekea na ndizi kabisa
Ushabiki wa Simba na yanga unaonyesha jinsi gani mlivyo na stress na wapumbavu Sasa huyo Chama, Mkude na Baleke walizaliwa ili wacheze Simba tu wakikosa nafasi Simba waache soka?Usaliti ni kitu kibaya sana.
Vijana wa Leo ogopeni usaliti.
Manara.
Chama.
Mkude
Baleke.
Hawa ni mfano wa vijana wasaliti wanalipwa kutokana na Tabia zao.
Duh sasa jikoni kafata nini tena?Chama aliyesajiliwa kwa pesa nyingi anawekwa benchi manara ni nani yanga chanzo cha kutoswa alikutwa jikoni kwa gharibu GSM!
Usijitilishe huruma na unyonge jifunze kuacha kukebehi watuPole sana Mkuu.
Nimeishia kukuonea Huruma tu.
Naomba MUNGU wa Mbinguni ninayemuabudu akusamehe.
Nina enjoy sana kuwa Jobless zaidi ya Miaka 20 sasa.
Mzee wa kazi chafuUmemuona mwamba
Anapiga nyoka?Kahiyo hapo ndio anapiga mdudu sio?
Ila msaliti hata nyie hamumuaninisisi yanga jamaa katusaidia sana nashangaa sasa watu wanaanza mdharau
Duh sasa jikoni kafata nini tena
Usijitilishe huruma na unyonge jifunze kuacha kukebehi watu
Ushabiki wa Simba na yanga unaonyesha jinsi gani mlivyo na stress na wapumbavu Sasa huyo Chama, Mkude na Baleke walizaliwa ili wacheze Simba tu wakikosa nafasi Simba waache soka?
Kwani lini kaacha?Anapiga mzee,kuna kipind hadi mitungi alikuwa anapiga