Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Bila pombe Dunia isingelikalika asee washukuliwe waiobuni Gambe😀😀😀 umewaza vema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila pombe Dunia isingelikalika asee washukuliwe waiobuni Gambe😀😀😀 umewaza vema sana
Hapa kwenyewe nimelewa nakomenti hovyoo kuanzia saa3 mpenda nyama aje pm nitakuwa mnadani hapa domKatika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804
Nipo na wanashirika wenzangu wa damu azizi ya Yesu
Hkuna mvinyo uliopongezwa na walevi kuliko huo mkuu wa meza akasema hadharani huu sasa ndo mvinyo achana na ile iliyotiwa tiwa maji hii konki puree😀😀Harusi ya Kaanani na mvinyo ulio bora😋💪🏿
Tukayaweke malengo kwenye vitendo sasa!!Mwaka huu sitatumia kilevi chochote , wala nyama,malengo yangu nifanye meditation na mazoezi ya mwili katika kiwango cha juu zaidi kuliko wakati wowote 💪
Haha haha haha haha nakuja kilingeni na dhabihu yangu ya divai na nyama za kutokoswaKatika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804
JojozSiachi na sitaacha.. tangu novemba 2024 nakunywa kwa machale..karibu hapa bundesliga MWANZA.. daily nipo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona mkuu tungi limekukolea ndo unajikokota kuludi home
Ukayaweke na mkeo mkuu😁😁Tukayaweke malengo kwenye vitendo sasa!!
Labda nyinyi mliooa 🫵🏿😂Ukayaweke na mkeo mkuu😁😁
Huyo kwenye video vip😂Katika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804