Mnaoacha gambe msitutangazie, mtakuja kuumbuka!

Mnaoacha gambe msitutangazie, mtakuja kuumbuka!

Katika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804
Hapa kwenyewe nimelewa nakomenti hovyoo kuanzia saa3 mpenda nyama aje pm nitakuwa mnadani hapa dom
 
Mambo ya kutangaza tangaza sijui naacha hiki au kile sio unyama kabisa. Ukiamua wewe kaa kimya.

Gambe iendelee
 

Attachments

  • 20250101_205441.jpg
    20250101_205441.jpg
    237.9 KB · Views: 3
Katika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804
Haha haha haha haha nakuja kilingeni na dhabihu yangu ya divai na nyama za kutokoswa
 
Katika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804
Huyo kwenye video vip😂
 
Back
Top Bottom