Mnaoamini kuwa uchawi upo mnatumia vigezo gani?

Mnaoamini kuwa uchawi upo mnatumia vigezo gani?

Ambacho haujui Ni kwamba hata hayo maradhi na ukosefu wa pesa yapo yanayosababisha na uchawi kwa asilimia kadhaa, naamini pia ktk science.

Zipo cases nyingi mpaka za Benki kupotelewa na fedha kimiujiza. Na Kuna Benki moja Dar walikuwa wanapigwa pesa na mama mmoja mchawi amesimama mlangoni Ila anazipiga pesa kutokea counter na watu hawajui. Mungu saidia akatokea Mchungaji mmoja mwenye macho ya rohoni akamtambua akamuwashia moto akadondoka na pesa zikamwagika chini watu wakataharuki na manager akaduwaa maana si Mara moja hesabu zao za Benki zinagoma Ila Mungu aliwasaidia.

Unajua kila mtu huwa anaamini habari ambazo anafuatilia na ndipo ufahamu wake unagota, siku atakapoongeza maarifa ndani yako ndipo ataondoka kwenye hiyo comfort zone aliyokaa kwa muda mrefu. Endelea kufuatilia

Note: Not every problem you see is a spiritual problem but most are spiritual
 
Ambacho haujui Ni kwamba hata hayo maradhi na ukosefu wa pesa yapo yanayosababisha na uchawi kwa asilimia kadhaa, naamini pia ktk science.

Zipo cases nyingi mpaka za Benki kupotelewa na fedha kimiujiza. Na Kuna Benki moja Dar walikuwa wanapigwa pesa na mama mmoja mchawi amesimama mlangoni Ila anazipiga pesa kutokea counter na watu hawajui. Mungu saidia akatokea Mchungaji mmoja mwenye macho ya rohoni akamtambua akamuwashia moto akadondoka na pesa zikamwagika chini watu wakataharuki na manager akaduwaa maana si Mara moja hesabu zao za Benki zinagoma Ila Mungu aliwasaidia.

Unajua kila mtu huwa anaamini habari ambazo anafuatilia na ndipo ufahamu wake unagota, siku atakapoongeza maarifa ndani yako ndipo ataondoka kwenye hiyo comfort zone aliyokaa kwa muda mrefu. Endelea kufuatilia

Note: Not every problem you see is a spiritual problem but most are spiritual
Maradhi yapi ambayo hayajulikani causes zake... Kama ni hivo basi hakuna haja ya kwenda shule... Pesa si inapatikana kwa njia nyingi.. Kupewa, kulipwa, kuokota n. K
 
Ambacho haujui Ni kwamba hata hayo maradhi na ukosefu wa pesa yapo yanayosababisha na uchawi kwa asilimia kadhaa, naamini pia ktk science.

Zipo cases nyingi mpaka za Benki kupotelewa na fedha kimiujiza. Na Kuna Benki moja Dar walikuwa wanapigwa pesa na mama mmoja mchawi amesimama mlangoni Ila anazipiga pesa kutokea counter na watu hawajui. Mungu saidia akatokea Mchungaji mmoja mwenye macho ya rohoni akamtambua akamuwashia moto akadondoka na pesa zikamwagika chini watu wakataharuki na manager akaduwaa maana si Mara moja hesabu zao za Benki zinagoma Ila Mungu aliwasaidia.

Unajua kila mtu huwa anaamini habari ambazo anafuatilia na ndipo ufahamu wake unagota, siku atakapoongeza maarifa ndani yako ndipo ataondoka kwenye hiyo comfort zone aliyokaa kwa muda mrefu. Endelea kufuatilia

Note: Not every problem you see is a spiritual problem but most are spiritual
Acha uwongo wa mchungaji na macho ya rohoni,benki zote zimezindikwa
 
Hiyo ni sanaa elimu ya mzungu inakudanganya ila wao wanasoma , vipo vyuo vinafundisha uchawi wewe kutoka nyumba ya tope unaleta nadharia .

Uchawi ulikuwepo kabla ya hiyo elimu yako hata ujazaliwa ...Wazungu wenyewe wachawi .
 
Wewe una akili kuliko mtume paulo aliyemkemea mchawi hadharani?
Au wewe una akili kuliko Musa aliyepambana na wachawi mbele ya Farao? Au wewe una akili kuliko Darius mfalme wa Babeli aliyekua akiwatumia waganga na wachawi kuwapumbaza wengine ili aendelee kutawala au wewe una akili kuliko Wafalme wa ulaya walioamua kuagiza wachawi wote kwenye tawala zao wakamatwe na kuuawa (season of witch)
Ungejua hao wanaokutawala au watu Maarufu unaowasifia mitandaoni wanatumia nini usingeandika uzi kama huu.

Acheni kuwapumbaza wengine ili muwatese wasitafute solution ya matatizo yao
UCHAWI UPO.
 
Wewe una akili kuliko mtume paulo aliyemkemea mchawi hadharani?
Au wewe una akili kuliko Musa aliyepambana na wachawi mbele ya Farao? Au wewe una akili kuliko Darius mfalme wa Babeli aliyekua akiwatumia waganga na wachawi kuwapumbaza wengine ili aendelee kutawala au wewe una akili kuliko Wafalme wa ulaya walioamua kuagiza wachawi wote kwenye tawala zao wakamatwe na kuuawa (season of witch)
Ungejua hao wanaokutawala au watu Maarufu unaowasifia mitandaoni wanatumia nini usingeandika uzi kama huu.

Acheni kuwapumbaza wengine ili muwatese wasitafute solution ya matatizo yao
UCHAWI UPO.
Sasa si ndo mniloge nione 😂😂😂
 
Maradhi yapi ambayo hayajulikani causes zake... Kama ni hivo basi hakuna haja ya kwenda shule... Pesa si inapatikana kwa njia nyingi.. Kupewa, kulipwa, kuokota n. K
Shule zimeanza mwaka gani ? Hizi shule unaenda kujifunza mila za wazungu , watu zamani walikuwa na matibabu walifundishwa kujua jamii zao . Hyo magonjwa hayakuwepo yameletwa na utandawazi .

Kwatafute wale wahadzabe kama unaota wana UTI , HIV , kansa , sijui kongosho .

Hii ni elimu ya mazingira hata wanyama wana elimu zao .
 
Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende.

Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa.

Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje.

Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kweli unaweza😂😂

Mwisho hakuna uchawi ni dhana za kufikilika tu.
Uchawi upo mpaka kwenye vitabu takatifu vipo.

Wewe kaishi uswahilini ile uswahilini haswa halafu kula vizuri vaa vizuri utajua uchawi upo au haupo.
 
Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende.

Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa.

Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje.

Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kweli unaweza😂😂

Mwisho hakuna uchawi ni dhana za kufikilika tu.
"Bothwell School of Witchcraft – Witchards Society" Bothwell School of Witchcraft – Witchards Society
 
Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kwel
Una maokoto,sio natesek kumtafuta babu yangu kumbe huna hela ya kunilipa
 
BIBLIA :usimuache mwanamke mchawi akaishi
MBOJU :hakuna uchawi

Lazima mmoja ni MUONGO! Nachelea kumuita Mboju MUONGO

Biblia imeandika nyoka anaongea , je kweli nyoka huwa anaongea ?

Biblia ni kitabu chenye uongo mwingi sana.
 
Ambacho haujui Ni kwamba hata hayo maradhi na ukosefu wa pesa yapo yanayosababisha na uchawi kwa asilimia kadhaa, naamini pia ktk science.

Zipo cases nyingi mpaka za Benki kupotelewa na fedha kimiujiza. Na Kuna Benki moja Dar walikuwa wanapigwa pesa na mama mmoja mchawi amesimama mlangoni Ila anazipiga pesa kutokea counter na watu hawajui. Mungu saidia akatokea Mchungaji mmoja mwenye macho ya rohoni akamtambua akamuwashia moto akadondoka na pesa zikamwagika chini watu wakataharuki na manager akaduwaa maana si Mara moja hesabu zao za Benki zinagoma Ila Mungu aliwasaidia.

Unajua kila mtu huwa anaamini habari ambazo anafuatilia na ndipo ufahamu wake unagota, siku atakapoongeza maarifa ndani yako ndipo ataondoka kwenye hiyo comfort zone aliyokaa kwa muda mrefu. Endelea kufuatilia

Note: Not every problem you see is a spiritual problem but most are spiritual

Acha uongo wa kijinga wewe. Humu kuna watu wazima wengi.

Taja jina la benk, taja siku ya tukio. Watu tukapeleleze.

Acha story za kutunga tunga tu
 
Back
Top Bottom