Mleta mada huo niutoto unaleta.
Kutokuamini kwamba kitu flani hakionekani sio conclusion kwamba kitu hicho hakipo.
Harafu hiyo nitafiti unafanya kama nitafiti weka muda wako namali pia kuhakikishia tafiti yako inapata majibu sahihi.
Kama unacho chakutoa sh: laki2 tafuta hapa mashahidi watatu unao waamini wachukue namba tuwe tunawasiliana harafu upigwe kitu uamke macho yamepigwa ukungu yasione kabisa chochote wewe sasa ndio uwe shahidi kwahao mashahidi wako3 wewe ulete uzi waushahidi humu,na wao walete uzi wa ushahidi humo.
Nasio kuleta habari zako za utoto unadhani nguvu hasi inasafilishwa tuu kirahis yani kama unavyo dhani wewe kwamba nilogeni sasa.
Kama upo tayari haswa kwatafiti yako hiyo chukua namba hapo kwenye picha ya wasifu kisha njoo WhatsApp ntakuambia unitumie details zako muhimu naufanye malipo yahiko kiasi vitu vikanunuliwe uone kama wiki itaisha bila kufaulu mtihani wako.