Mnaoamini kuwa uchawi upo mnatumia vigezo gani?

Mnaoamini kuwa uchawi upo mnatumia vigezo gani?

Huo ujinga wa kuamini bila proof ndo watu wenye akili timamu hatuutaki. Kuaminishana story za hearsay ni uzwazwa.
Kwanini unalazimisha kuaminishwa?

Unataka kujifungua mapacha??

Hili sio swala la KUAMINISHWA, ni swala la kuchagua kati ya UJINGA na MAARIFA.

Na wewe nikikuangalia naona kabisa ni wale wajuaji waliohitimu shule za kata na kutunukiwa vyeti vya UJUZI HEWA.
 
Wanarogwa wenye nguvu za kiroho, kiuchumi, ushawishi nk huwezi roga mtu asie na faida

Ila wachawi hao hao wanaruka toka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kukaba tu mtu usiku. Make it make sense?

Naweza kukuthibitishia malaria ipo hata kama mimi siumwi malaria, can you do the same with ushirikina? Hata kama huwezi kuniroga mimi, maana ni dhahiri hawaniwezi, onyesha proof in any way, shape, or form. Hizi story na kuamisha goal post kunachosha. Paa mchana, penye ukutani, geuka kuwa chura huku kila mtu anaona. Hapa zitaletwa excuses zote but proof.
 
Ila wachawi hao hao wanaruka toka mkoa mmoja hadi mwingine kwenda kukaba tu mtu usiku. Make it make sense?

Naweza kukuthibitishia malaria ipo hata kama mimi siumwi malaria, can you do the same with ushirikina? Hata kama huwezi kuniroga mimi, maana ni dhahiri hawaniwezi, onyesha proof in any way, shape, or form. Hizi story na kuamisha goal post kunachosha. Paa mchana, penye ukutani, geuka kuwa chura huku kila mtu anaona. Hapa zitaletwa excuses zote but proof.
Siwezagi kubishana we baki na msimamo wako bhana hatulipwi
 
Ha
kama unajua kuna mungu kwa nini usijue kuna shetani
Hawa watu sijui wanajifanya wanaishi Dunia gani biblia yenyewe inatambua uwepo wa miungu Musa alivokua anawatoa Wana Islael alikumbana na uchawi fimbo inakuwa nyoka







mi






wwanaiishi
 
Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende.

Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa.

Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje.

Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kweli unaweza😂😂

Mwisho hakuna uchawi ni dhana za kufikilika tu.
Nilishatoa tangazo la kutaka mtu mwenye nyumba iliyokimbiwa na watu, yenye majini au vibwengo au mizimu au maluweluwe yoyote yale anionyeshe nikalale huko na nitamlipa; hakupatikana. Nimekatisha mapori, makaburini na kila mitaa wanayosema ina majini usiku wa manane wala sijakutana na lolote. Kuna kipindi tulienda Sumbawanga vijijini sehemu inaitwa Kalambanzite kuchukuwa mahindi, nikabeza wenyeji na kuwaambia ''wachovu ninyi kuna siku nitawatomb* wake zenu wote, kwanza hamna uchawi wowote na nguvu za kiume ndiyo kabisaa. Nilogeni kama mnaweza nyie wanaharamu''. Hola, mpaka leo sijaona kitu.
 
Mada kama hizi ingependeza zaidi wenye kupinga uchawi nao wakatoa experience zao za matukio waliyowahi kukutana nayo ambayo yanahusishwa na uchawi ila wao wakaweza kugundua kuwa haikuwa uchawi na ni nini hasa kilikuwa? Au waonyeshe ufahamu wao kwa kueleza hicho kinachodhaniwa kuwa ni uchawi si uchawi na wakaeleza ni nini hasa.

Ila kubishana tu hapa na watu ambao hawamini huo uchawi kwa sababu tu haelewi chochote wala hana experience yeyote kuhusu huo uchawi inakuwa ni kuchoshana tu.

Mtu anakwambia humu umroge na hapo hapo wala hata hajui chochote ni kwa vp inawezekana mtu kurogwa na athari ya huo uchawi wenyewe haelewi. Sasa mtu kama huyo unaona kabisa kinachomsumbua ni kukosa uelewa tu na ndio tatizo kubwa mtu hana muda wa kukielewa anachokipinga.
 
Nilishatoa tangazo la kutaka mtu mwenye nyumba iliyokimbiwa na watu, yenye majini au vibwengo au mizimu au maluweluwe yoyote yale anionyeshe nikalale huko na nitamlipa; hakupatikana. Nimekatisha mapori, makaburini na kila mitaa wanayosema ina majini usiku wa manane wala sijakutana na lolote. Kuna kipindi tulienda Sumbawanga vijijini sehemu inaitwa Kalambanzite kuchukuwa mahindi, nikabeza wenyeji na kuwaambia ''wachovu ninyi kuna siku nitawatomb* wake zenu wote, kwanza hamna uchawi wowote na nguvu za kiume ndiyo kabisaa. Nilogeni kama mnaweza nyie wanaharamu''. Hola, mpaka leo sijaona kitu.
Ulikuwa unataka kuthibitisha uwepo wa uchawi au ulitaka kuthibitisha kuwa wewe hudhuriki na uchawi na majini? Kwa sababu ulichokifanya hata anayeamini uchawi anaweza kukifanya kuonyesha kuwa yeye ni mwamba harogeki wala kudhurika na uchawi.
 
Ulikuwa unataka kuthibitisha uwepo wa uchawi au ulitaka kuthibitisha kuwa wewe hudhuriki na uchawi na majini? Kwa sababu ulichokifanya hata anayeamini uchawi anaweza kukifanya kuonyesha kuwa yeye ni mwamba harogeki wala kudhurika na uchawi.
Nilitaka kuthibitisha uchawi hamna
 
Maombi mwombe Mungu kweli uchawi upo na tena wabaya na wengi wamekufunga hujui utaanzia wapi nimechelewa kila kitu kisa hao wachawi sasa weka maombi uwe nania yakuwa nikiwa na yesu yote naweza kwa anitiaye nguvu
Ulifanikiwa kuondoa vifungo hivyo? Au ulienda kupiga mfyefye upande wa pili..🤣
 
Nimeuliza hiviiii...

Utajuaje huu ni uchawi, na si kitu kingine tu ambacho hujakielewa?

Mpaka sasa sijapata jibu la kueleweka.
 
Hakuna uchawi ni uoga tu wa watu 😹
Halafu ukitaka kujua waganga jau siku hizi wanachukua kuku mpk wa kisasa
 
Nimeukiza hiviiii...

Utajuaje huu ni uchawi, na si kitu kingine tu ambacho hujakielewa?

Mpaka sasa sijapata jibu la kueleweka.
Kumbe chuma tayari kishafika 😹😹
Nilitaka nikuite bro unichapie watu fimbo za ubongo
 
Uchawi ni kanuni na masharti ukienda kinyume na miiko haifanyi kazi.
Mchawi haruhusiwi kuchukua chochote ndani au bank iwe ni pesa au chochote akichukua tu hawezi toka ndani.
 
Back
Top Bottom