Mnaoamini kuwa uchawi upo mnatumia vigezo gani?

Mnaoamini kuwa uchawi upo mnatumia vigezo gani?

Watu wanashindwa kuelewa utofauti kati ya imani potofu za imani ya uchawi katika jamii na uwepo wa uchawi?

Katika hizo nchi ambazo zimeendelea ambako hakuna sana imani za uchawi, uelewa wao kuhusu uchawi kwa wenye kuamini ni tofauti kabisa na sisi huku ambako mtu anakwambia kama uchawi upo niroge.
Tafuta kitabu cha mwamba mmoja wa kimarekani anaeitwa Carl sogan usome.
 
Sawa apo tumeenenda vizuri sana , ndio maana nikakuambia hizo fikra zipo lakini haimaanishi kwamba ni fikra sahihi , ni kama imani tu zipo lakini hazina uthibitisho.
Unazungumzia imani potofu za kishirikina au unazungumzia huo uchawi wenyewe? Hayo mambo ya kumdhania mtu kafanya uchawi kisa kafanikiwa kimaisha au kila kitu umerogwa tu hizo ni imani potofu, lakini yapo mambo ambayo tunaamini ni uchawi ambayo watu wana ya experience kwenye uhalisia wa maisha ambayo wewe ndio unapinga kuwa sio uchawi.

Ndio maana nikataka kujua kutoka kwako je huo uchawi ni nini ambao unapinga haupo na kwanini unasema haupo?
 
Tafuta kitabu cha mwamba mmoja wa kimarekani anaeitwa Carl sogan usome.
Mimi nina vitabu kibao tu vyenye kuelezea uchawi, lakini pia huwa napenda kusoma hata kwa yale nisiyoyaamini. Kwahiyo issue sio kitabu tu maana hata wewe unaweza kutunga kitabu na ukaeleza mitazamo yako. Kitu gani unadhani sina ufahamu nacho hadi upendekeze nikakisome kwenye hicho kitabu?
 
Kujifariji na matatizo ya dunia, kwamba yupo mungu muweza wa yote.
Kwahiyo kwako wewe kwa uelewa wako mambo yote haya kumuhusu Mungu watu wamejisumbua kuyatunga halafu lengo ni kujifariji na maisha?
 
Unazungumzia imani potofu za kishirikina au unazungumzia huo uchawi wenyewe? Hayo mambo ya kumdhania mtu kafanya uchawi kisa kafanikiwa kimaisha au kila kitu umerogwa tu hizo ni imani potofu, lakini yapo mambo ambayo tunaamini ni uchawi ambayo watu wana ya experience kwenye uhalisia wa maisha ambayo wewe ndio unapinga kuwa sio uchawi.

Ndio maana nikataka kujua kutoka kwako je huo uchawi ni nini ambao unapinga haupo na kwanini unasema haupo?
Uchawi pia ni moja wapo ya hizo imani potofu.
 
Unazungumzia imani potofu za kishirikina au unazungumzia huo uchawi wenyewe? Hayo mambo ya kumdhania mtu kafanya uchawi kisa kafanikiwa kimaisha au kila kitu umerogwa tu hizo ni imani potofu, lakini yapo mambo ambayo tunaamini ni uchawi ambayo watu wana ya experience kwenye uhalisia wa maisha ambayo wewe ndio unapinga kuwa sio uchawi.

Ndio maana nikataka kujua kutoka kwako je huo uchawi ni nini ambao unapinga haupo na kwanini unasema haupo?
Apo juu umeongelea nchi zilizoendelea,ndio maana nikakuambia usome dhana za huyo mwamba kuhusu uchawi.
 
Kwahiyo kwako wewe kwa uelewa wako mambo yote haya kumuhusu Mungu watu wamejisumbua kuyatunga halafu lengo ni kujifariji na maisha?
Mtu akiwa mtoto mdogo, anaamini kuwa baba yake ana uwezo sana, likipita gari utasikia watoto wanaimba ''gari ya baba''.

Anaamini hakuna mtu anaeweza kumpiga baba yake, baba yake anajua yote na hakuna kitu kinamshinda.

Akikua anagundua kuwa kumbe siyo kweli.

Kwa bahati mbaya kabisa bado kwny ubongo wake kuna ile hulka ya kutaka kuwa na mtu au kiumbe anayeweza yote, anayejua yote.

Hapo ndipo ubongo wa binadamu ukaamua kujitungia na kujiaminisha kuwa yupo Mungu baba muweza wa yote, anayejua yote.

Ukisoma kitabu cha Edward Craig, THE MIND OF GOD AND THE WORKS OF MAN, utagundua kuwa anajaribu kuraise swali, kwamba kati ya Mungu na binadamu nani alimuumba mwenzake?

Lakini mwishoni, ni kama anahitimisha kuwa ubongo wa binadamu ndio uliomuumba Mungu.
 
Kunawatu hua mnaanzisha nyuzi ili mpate comment huenda Hadi Leo unakula kwa mama unajaza jf server,Anza kuthibitisha kua uchawi haupo,

Huku nilipo kunabibi alikua mtata sana,wananzengo wakamfata kumkata mapanga,walikua wanakata shingo kile kichwa kinaludi pale pale,Hadi Leo yupo ila alihama Kijiji,

Nenda tabora au tanga kwanini hii mikoa inavichaa wengi ilihali madawa ya kulevya kama chuga si mengi sana
 
Apo juu umeongelea nchi zilizoendelea,ndio maana nikakuambia usome dhana za huyo mwamba kuhusu uchawi.
Kusoma sio shida maana kunaongeza maarifa ila ningependa kuona maarifa mliyonayo wapingaji uchawi mbali na kuishia kudai uthibitisho tu.
 
Kusoma sio shida maana kunaongeza maarifa ila ningependa kuona maarifa mliyonayo wapingaji uchawi mbali na kuishia kudai uthibitisho tu.
Hahahaha , maarifa yapi sasa hayo unayoyahitaji mkuu? Uchawi hakuna kama mtu anadai upo atupe hayo maarifa apa ili tuthibitishe ,unajua humu hapawezi kosa hao wachawi kama wanavyodi wapo , ajitokeze mchawi mmoja atuonyeshe mambo .
 
Uchawi ni hisia na fikra haribifu zisizo na maana yoyote, zilizopo miongoni mwa baadhi ya jamii fulani, ambazo zinaweza kuleta matatizo makubwa kwenye jamii, fikra hizi zilipaswa kutokuaminiwa kabisa kwa gharama yoyote, kwani zinaua fikra chanya na ari kubwa ya maendeleo na mabadiliko ya kijamii.

Mtu kapatwa na ugonjwa fulani tu ,badala ya kufanya uchunguzi wa kina watu wanaamua kusema rahisi tu ni uchawi ,hii inaua nguvu ya utafiti na kupata tiba stahiki .

Mtu ananunua kajigari tu ka mil 10 na kanyumba labla na biashara ya kawaida tu watu, wanasema kaenda kwa waganga na hii inaua ile ari ya watu kuamini kwenye kazi na kutafuta.

Uchawi ni fikra potofu ambazo hazipaswi kupewa kipaumbele kabisa.
Kabisa
 
Sasa uoga kvp? We umekariri kwamba uchawi ni kurogana tu ndio maana unasema ni uoga wa watu. Ina maana haujawahi kusikia visa vyenye kuhusishwa na uchawi mbali na kurogana?
Mi tomaso siamini kwenye kusikia mkuu 😹
 
Mtu akiwa mtoto mdogo, anaamini kuwa baba yake ana uwezo sana, likipita gari utasikia watoto wanaimba ''gari ya baba''.

Anaamini hakuna mtu anaeweza kumpiga baba yake, baba yake anajua yote na hakuna kitu kinamshinda.

Akikua anagundua kuwa kumbe siyo kweli.

Kwa bahati mbaya kabisa bado kwny ubongo wake kuna ile hulka ya kutaka kuwa na mtu au kiumbe anayeweza yote, anayejua yote.

Hapo ndipo ubongo wa binadamu ukaamua kujitungia na kujiaminisha kuwa yupo Mungu baba muweza wa yote, anayejua yote.

Ukisoma kitabu cha Edward Craig, THE MIND OF GOD AND THE WORKS OF MAN, utagundua kuwa anajaribu kuraise swali, kwamba kati ya Mungu na binadamu nani alimuumba mwenzake?

Lakini mwishoni, ni kama anahitimisha kuwa ubongo wa binadamu ndio uliomuumba Mungu.
Ndio maana nimekuuliza kwamba haya mambo yote yenye kuhusu Mungu ni kwamba binaadamu amejisumbua kutunga yote hayo ili tu kujifariji?

Halafu huko kujifariji ni kwa namna gani kwa sababu wenye kuamini Mungu na wasioamini wote wanapitia changamoto na wanapambana, sasa hiyo faraja ni ya vp?
 
Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende.

Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa.

Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje.

Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kweli unaweza[emoji23][emoji23]

Mwisho hakuna uchawi ni dhana za kufikilika tu.
Upo sawa, kuamini uchawi ni upuuzi tu.
 
Back
Top Bottom