Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kuna watu hapa leo hii hawana tofauti na wale walioamini risasi zitageuka maji kwa supernatural powers.Kumbe chuma tayari kishafika 😹😹
Nilitaka nikuite bro unichapie watu fimbo za ubongo
Ingawa wale waliishi zaidi ya miaka 100 iliyopita, enzi ambazo hakukuwa na upatikanaji wa habari kirahisi.
Na hawa wanaishi enzi za internet, kila habari iko online.