Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Status
Not open for further replies.
Ni wazuri machoni ila hawana Cha kuofa kitandani zaid ya DAWASA.

Warangi, wadigo na wanyamwezi mmenogeshwa mno.
Kitandani hawawezi kwenda muda mrefu huwahi sana kumwaga na kuishiwa nguvu haraka tofauti na makabila hayo umetaja na baadhi ya makabila ya Tanzania na pia huzeeka haraka kuliko wanaume wa kinyarwanda au wa makabila mengi tu ya Tanzania na nyege huwahi kukata mapema

Kasi ya kuzeeka wanawake wa kinyarwanda huwa kubwa mno kuliko wanaume wa Rwanda au Tanzania .

Wanaume kwa Rwanda wagumu sana kuzeeka unamkuta yuko active hata umri usonge vipi wanawake huchoka haraka

Ila ni wanawake wa kinyarwanda wana akili nyingi mno na wasafi sana tofauti na wanawake wengine Afrika mashariki na kati

Hilo la kutochanganya damu ni hasa kwa wale wa ukoo wa machlfu wa kinyarwanda lakini wengine hawana shida
 
Kitandani hawawezi kwenda muda mrefu huwahi sana kumwaga na kuishiwa nguvu haraka tofauti na makabila hayo umetaja na baadhi ya makabila ya Tanzania na pia huzeeka haraka kuliko wanaume wa kinyarwanda au wa makabila mengi tu ya Tanzania na nyege huwahi kukata mapema

Kasi ya kuzeeka wanawake wa kinyarwanda huwa kubwa mno kuliko wanaume wa Rwanda au Tanzania .

Wanaume kwa Rwanda wagumu sana kuzeeka unamkuta yuko active hata umri usonge vipi wanawake huchoka haraka

Ila ni wanawake wa kinyarwanda wana akili nyingi mno na wasafi sana tofauti na wanawake wengine Afrika mashariki na kati

Hilo la kutochanganya damu ni hasa kwa wale wa ukoo wa machine wa kinyarwanda lakini wengine hawana shida
Hapo kwenye akili umetudanganya.
Yani nikimuweka msukuma na Mnyarwanda mwanamke wa kisukuma ana akili sana.
Wanyarwanda ni kama wahaya,ujanja mwingi mbele kiza.
Much know mno halafu weupe peee.
 
Hapo kwenye akili umetudanganya.
Yani nikimuweka msukuma na Mnyarwanda mwanamke wa kisukuma ana akili sana.
Wanyarwanda ni kama wahaya,ujanja mwingi mbele kiza.
Much know mno halafu weupe peee.
Uko sahihi,wengi ni vilaza,ujuaji mwingi kumbe hamna kitu
 
Mkuu kaoe kule aisee.
Mie nimekaa nao sana hao pia nina ndugu wameoa huko aisee acha kabisa,wale ni wife material.
Hata kama ukiwa hauna heshima yako inalindwa pale pale.
Nitafute likizo mwakani niende maana sina ndugu kule wakunipa ramani,Natamani sana kuoa kwetu
 
Uko sahihi,wengi ni vilaza,ujuaji mwingi kumbe hamna kitu
Kuna mmoja nilisoma nae secondary,sema yeye alikua sio mrefu sana urefu wa kawaida mweupee sana tu ana kitako flani mchecheto hivi mtoto wa Vikindu.
Aisee kaka yake alikua ana vitz,na alikua akija shuleni akiletwa na hiyo vitz😂😂😂😂😂😂la mamaye kama ana BMW au Audi vile!!
Mbwembwe kibaaaaooooo.
Nilimuona fala alipoanza kuifananisha Kigali na Dar es salaam😂😂😂😂.
Sikumlaumu maana alikua mgeni ndio kwanza kahamia bongoland,nikakatembeza wilaya zote za Dar kakaishiwa mdomo wazi.
Nikajua yes kame surrender eti ooooh majengo yote haya lakini TZ maskini hela yenu ndogo kuliko ya Rwanda😂😂😂.
She didn't want peace she wanted problems.
Yafuatayo yalimfurahisha.
 
Nitafute likizo mwakani niende maana sina ndugu kule wakunipa ramani,Natamani sana kuoa kwetu
Nilitaka kuoa kule ila doh mtoto wa kimbulu/kiiraqi aliniteka nikasahau kilichonipeleka Tanga,japo huyo mbulu nilimpatia huko huko Tanga.
Mke wa pili ndio amechanganya,nusu msambaa nusu mluguru.
Na nimemuoa mwezi uliopita tu hapo kasingle maza cha miaka 40.
 
Nilitaka kuoa kule ila doh mtoto wa kimbulu/kiiraqi aliniteka nikasahau kilichonipeleka Tanga,japo huyo mbulu nilimpatia huko huko Tanga.
Mke wa pili ndio amechanganya,nusu msambaa nusu mluguru.
Na nimemuoa mwezi uliopita tu hapo kasingle maza cha miaka 40.
Nimeishi kisela niaka 7 sasa muda wa kuoa umefika mwakani inabidi nioe aisee najuja inbox unipe ramani
 
Kuna mmoja nilisoma nae secondary,sema yeye alikua sio mrefu sana urefu wa kawaida mweupee sana tu ana kitako flani mchecheto hivi mtoto wa Vikindu.
Aisee kaka yake alikua ana vitz,na alikua akija shuleni akiletwa na hiyo vitz😂😂😂😂😂😂la mamaye kama ana BMW an Audi vile!!
Mbwembwe kibaaaaooooo.
Nilimuona fala alipoanza kuifananisha Kigali na Dar es salaam😂😂😂😂.
Sikumlaumu maana alikua mgeni ndio kwanza kahamia bongoland,nikakatembeza wilaya zote za Dar kakaishiwa mdomo wazi.
Nikajua yes kame surrender eti ooooh majengo yote haya lakini TZ maskini hela yenu ndogo kuliko ya Rwanda😂😂😂.
She didn't want peace she wanted problems.
Yafuatayo yalimfurahisha.
Rwanda ni sawa na mkoa mmoja wa Tanzania,wana kitu kinaitwa egoism Kujisikia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom