Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Status
Not open for further replies.
1. SIO KWELI

2. SIO KWELI

3. KWELI

4. SIO KWELI

5. KWELI

6. YOTE

7.YOTE

8. KWELI

9. KWELI SANA

10. KWELI

11. KWELI

HITIMISHO; Punguza mihu

1. SIO KWELI

2. SIO KWELI

3. KWELI

4. SIO KWELI

5. KWELI

6. YOTE

7.YOTE

8. KWELI

9. KWELI SANA

10. KWELI

11. KWELI

HITIMISHO; Punguza mihemko
Umejibu kielimu Sana..maana nilitaka kujibu ila ww umemaliza kila kitu'
Kachanganya uwongo na Ukweli na ww ume weka bayana!! Good I like that
 
Thread imejaa watu waliopigwa vitu vizito na watoto wa kitutsi, na Kagame anavyozidi kuwapaisha maringo yao yameongezeka tutegemee vilio kuzidi hapa, wale wanawake ni warembo buana narudia tena haipo jamii yoyote hapa TZ inawafikia

Kuhusu kuzeeka ni nature ya wanawake tunawahi kuzeeka kuliko wanaume, iko hivyo kwa wanawake wote
Hawana tofauti na wamasai Kwa rangi na urefu, tofauti Yao hawana mashuka
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    36.4 KB · Views: 10
  • gettyimages-1662123962-612x612.jpg
    gettyimages-1662123962-612x612.jpg
    84.8 KB · Views: 11
  • gettyimages-1367858963-612x612.jpg
    gettyimages-1367858963-612x612.jpg
    76 KB · Views: 10
  • gettyimages-1167155621-612x612.jpg
    gettyimages-1167155621-612x612.jpg
    46.5 KB · Views: 9
  • gettyimages-92104028-612x612.jpg
    gettyimages-92104028-612x612.jpg
    110.2 KB · Views: 12
  • download (1).jpeg
    download (1).jpeg
    10.6 KB · Views: 11
  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    9.2 KB · Views: 12
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    15.1 KB · Views: 11
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    15.3 KB · Views: 12
NYATURU GIRLS
 

Attachments

  • images (7).jpeg
    images (7).jpeg
    9.9 KB · Views: 10
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    4.8 KB · Views: 10
  • download (5).jpeg
    download (5).jpeg
    9.3 KB · Views: 12
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    12.5 KB · Views: 11
  • download (4).jpeg
    download (4).jpeg
    12.5 KB · Views: 10
  • download (3).jpeg
    download (3).jpeg
    11.1 KB · Views: 11
Ahahaha salanda karibu na itigi... Pale Kuna wataturu na wanyaturu... Salanda Kwa kiwango kikubwa ni wataturu au watatoga... Pale Kuna pisi hatr mkuu
Ndio nimeoa anayetokea pale mkuu.
Japo binti nilimpatia Tanga mwakizaro kwa mamaake mkubwa.
Mara nyingi tunaendaga na treni tukienda kusalimia maana kutoka kituo cha treni mpaka kwa mama mkwe ni karibu kama kilometa 1.2 hivi.
Ukishuka pale aisee kuna nyama zinauzwa kama mtaa mzima,tunapiga nyama choma ndio tunatembea.
Kule ukiwa kitombi unakufa kihoro😂😂😂😂kuna wadada wazuri bana.
Nywele laini kiuno kijiko tako sinia,rangi ya chai ya maziwa,uso baby face weeeeh!!
Acha mkuu,halafu kuna mbusi moja inakuja kukwambia eti watutsi pis kali zaidi.
 
Ndio nimeoa anayetokea pale mkuu.
Japo binti nilimpatia Tanga mwakizaro kwa mamaake mkubwa.
Mara nyingi tunaendaga na treni tukienda kusalimia maana kutoka kituo cha treni mpaka kwa mama mkwe ni karibu kama kilometa 1.2 hivi.
Ukishuka pale aisee kuna nyama zinaizwa kama mtaa mzima.
Kule ukiwa kitombi unakufa kihoro😂😂😂😂kuna wadada wazuri bana.
Nywele laini kiuno kijiko tako sinia,rangi ya chai ya maziwa,uso baby face weeeeh!!
Acha mkuu,halafu kuna mbusi moja inakuja kukwambia eti watutsi pis kali zaidi.
Afu Kuna YUTIAYI mmoja anatuletea habar za WANYARWANDA...simwelewi hata siku moja
 
Afu Kuna YUTIAYI mmoja anatuletea habar za WANYARWANDA...simwelewi hata siku moja
Hajatembea huyo bro hii Tanzania akaielewa vizuri.
TZ kuna pis kali aisee,pia Singida kuna kabila wanaitwa wanyisanzu niliwaona wale nao aisee tema mate chini.
Sema watu wa kule bana mazingira yao magumu sana wana hali ngumu ya maisha.Yani unaikuta pis kali imepaukaa haina poda ila ina futa linameremeta la kushenyenta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom