Mnaodai ESS imeshabadili vyeo mpo nchi gani?

Mnaodai ESS imeshabadili vyeo mpo nchi gani?

Toeni malalamiko panapohusika watumishi siyo kila sehemu mnalalama.
 
Itakua upumbafu wa kiwango Cha lami,, ikiwa wata judge kupitia huo mfumo,,
Na watafanya hivyo at. Maana opras ndio hakuna. Yaani mh rais ametaka namna bora ya kumpima .tumishi maana opras ilikuwa kikwazo. Sasa leo Waziri atahakikisha inatumika.

Walipo jichanganya ni pale kwenye

SCORE PERCENTAGE
NA PERFORMANCE(ProgressPercentage)

Yaani wamejichangsnya kwa kiwango cha zege. Hata huyo developer wa mfumo ni kiazi.

Nifafanue kidogo. Ule mfumo ktk eneo la qualitative na quantitative indicator. Kuna percentage pale...kile ninkipimo cha ubora na kaiser. Kwanini kuanzia pale mfumo usikokotoe wenyewe baada ya mimi kujaza utekelezaji wangu ambapo ilitakiwa mfumo ugundue ubora na kiwango na sio kuja kujaza manually. Huu mfumo hauna tija ni kujaza ma essay tu mule.

I stand to be corrected kwa aliyenipata okay
 
Na watafanya hivyo at. Maana opras ndio hakuna. Yaani mh rais ametaka namna bora ya kumpima .tumishi maana opras ilikuwa kikwazo. Sasa leo Waziri atahakikisha inatumika.

Walipo jichanganya ni pale kwenye

SCORE PERCENTAGE
NA PERFORMANCE(ProgressPercentage)

Yaani wamejichangsnya kwa kiwango cha zege. Hata huyo developer wa mfumo ni kiazi.

Nifafanue kidogo. Ule mfumo ktk eneo la qualitative na quantitative indicator. Kuna percentage pale...kile ninkipimo cha ubora na kaiser. Kwanini kuanzia pale mfumo usikokotoe wenyewe baada ya mimi kujaza utekelezaji wangu ambapo ilitakiwa mfumo ugundue ubora na kiwango na sio kuja kujaza manually. Huu mfumo hauna tija ni kujaza ma essay tu mule.

I stand to be corrected kwa aliyenipata okay
Na Bado hapo stable,, huku supervisor wetu hawaoni sub ordinates wake ,,,
 
Na watafanya hivyo at. Maana opras ndio hakuna. Yaani mh rais ametaka namna bora ya kumpima .tumishi maana opras ilikuwa kikwazo. Sasa leo Waziri atahakikisha inatumika.

Walipo jichanganya ni pale kwenye

SCORE PERCENTAGE
NA PERFORMANCE(ProgressPercentage)

Yaani wamejichangsnya kwa kiwango cha zege. Hata huyo developer wa mfumo ni kiazi.

Nifafanue kidogo. Ule mfumo ktk eneo la qualitative na quantitative indicator. Kuna percentage pale...kile ninkipimo cha ubora na kaiser. Kwanini kuanzia pale mfumo usikokotoe wenyewe baada ya mimi kujaza utekelezaji wangu ambapo ilitakiwa mfumo ugundue ubora na kiwango na sio kuja kujaza manually. Huu mfumo hauna tija ni kujaza ma essay tu mule.

I stand to be corrected kwa aliyenipata okay
100%
 
Hebu ongeeni jambo linaloeleweka.Vyeo vinabadilika mwisho wa mwezi bila kuona changes kwenyr ESS au mpaka changes kwenye ESS ndo vitabadilika.
Mambo haya ni serious.
Hapa hadi atokee HR anayejielewa
 
Back
Top Bottom