Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Lengo lako ni Nini!?Yesu amekufa miaka 2000 iliyopita ila bado biblia zinachapishwa sana ,na ndio kitabu kinaongoza kwa mauzo.
Shetani ana miska mingi sana ulimwenguni ila hatukomi kusoma habari zake .ungewajuaje hitler,stalin,musollin,iddi amini bila maandishi
Umekuja ki vingine!?kazi ipo, uko biz na mtu ameshapumzika zake huko
unaumia au? acha wivu wa kikeUmekuja ki vingine!?
I'd Mpya lakini inashabihiana na ile ya gentamicine ndio maana nikauliza!!unaumia au? acha wivu wa kike
fanya mambo yako mwalimu, ya watu hutaweza, hivi mkopo wako ulishughulikiwa?I'd Mpya lakini inashabihiana na ile ya gentamicine ndio maana nikauliza!!
Una uhakika amepumzika huko? Halafu kuna kundi alilizalisha na kaliacha nyuma hajaenda nalo hivyo nadhani mashambulizi haya yanawahusu wao zaidikazi ipo, uko biz na mtu ameshapumzika zake huko
Kongole bila shaka umesoma literature maanaKusudi in nini haswa!
Iwapo warundi ndio wenye uchungu na nchi yetu, tafadhari tunaomba wawepo wengi tu ili tuondokane na matatizo haya yasiyokoma!
Na kama ni hivyo kwamba PhD ya warundi ikiwa ni feki Ila inaleta ufanisi zaidi kuliko PhD original za wabongo, yanini tuwe nazo original na wakati hazina faida?
Mwandishi, ujue hatuna maji na umeme halafu unaleta abunuas za hekaya?
Kila sa100 akielemewa,kazi ipo, uko biz na mtu ameshapumzika zake huko
Kwa hiyo Jk nae ilikuwa zari?utakuwa muhutu wewe si bureChai... Hiyo ni kwa mujibu wa unavyojua Wewe ila story ipo kinyume kabisa na ulivyoandika...
Na usichokijua nchi hi Hakuna aliyewahi kuvizia urais akaupata wote inatokea Kama zali ingekuwa urais unaviziwa Lowasa angeshatoboa.
Hana hamu na watu wa biharamuloKuongezea kidogo jiwe alijalibu mala 2 kuutafuta ubunge wa Biharamlo akakutana na kigingi Cha Mzee Faresi Kabuye huyu Babu alikua mwamba sana mpaka alipo faliki akiwa mbunge pekee kupitia TLP YA MREMA KWA ajali ya basi la RS pale morogoro kingine jiwe mpaka anakufa hajawahi kuipenda Biharamlo kutokana na kushindwa mala 2 kwenye mchakato wa kumpata mgombea ubunge.
Mpaka anakufa hajawahi kuwapenda wakimbizi wenzieHana hamu na watu wa biharamulo
Kumbuka hata Ile barabara ya mwanza geita mpaka bwanga ilikua ipite Buziku kwenda Biharamlo yeye akaipeleka bwanga chato Ili kuwakomoaHana hamu na watu wa biharamulo
Maana yangu ni kwamba kupanga mipango vizuri na kisha ukaitumia vizuri bila kutumia hila na udanganyifu katika wadhifa ulioupata ni sahihi kabisa !! Lakini ukijifanya ni mjanja na kuwahadaa watu kwamba wewe ni mwema kwao kumbe upo pale kwa ajili ya kujilimbikizia mali tu ujue Mungu yupo anakuona naye ana mipango yake kuhusu huyo muhusika naye huyo Mungu hashindwi na kitu chochote wakati wowote atatenda !!We lala usingizi sema Mungu anapanga,fortune goes to the brave ones
Omba Mungu huku ukichukua hatua utafanikiwa.
Kuandika maombi ya kazi au kuchukua fomu ya kugombea cheo,kuomba tenda ndio hatua hizo.nafasi za kuteuliwa bila kuomba zipo chache sana