Mnaodhani kuwa yote aliyosema Mzee Makamba hakuandaliwa poleni sana

Mnaodhani kuwa yote aliyosema Mzee Makamba hakuandaliwa poleni sana

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
CCM wanajua kuwa Wakisema Jambo Wao piga Ua litasambaa ( trend ) na Watanzania wote kama Kawaida yet tutalishupalia na haraka mno Kusahau mengine ya Msingi ya Kujadili kuhusu Tanzania yetu.

Wenye Akili tunajua kuwa Mzee Yusuf Makamba kwa Kujulikana Kwake kuwa ni Mropokaji, Mpenda Sifa na Mkurupukaji basi CCM (kupitia Kitengo chzke Maalum chenye Wastaafu wengi kutoka TISS ) wangemuandaa Kimkakati kuja kufanya alichokifanya huku Media iliyowekwa Mfukoni mwa CCM na Serikali ikielekezwa cha Kuandika na kusukuma Agenda ya Mkutano Mkuu na tusahau ya Msingi.

Spinning iliyofanyika si ya Kitoto na imeshafanikiwa kwa 85% Masikioni na Akilini mwa Watanzania kwani sasa hatujadili tena Mgawo wa Umeme, Tozo, Gharama za Maisha Kupanda, Elimu Mbovu, Rushwa ( Ufisadi ) na Uonevu ( Unyanyasaji ) wa kila namna.

Mzee Makamba anaweza kuona/ kujiona kuwa kapatia, Kumfurahisha Mwenyekiti wake Taifa ( CCM ) hivyo Kumsaidia Mwanae asitumbuliwe au hata akitumbuliwa apelekwe Kwingine ila kwa wenye Akili Kubwa tunajua amejiabisha, amekiaibisha Chama (CCM) na ameonyesha kuwa huenda CCM ya sasa ikawa na Majuha ( Fools ) wengi kulko ile CCM ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.
 
Hivi na nyie imeshawahi kuwatokea? Yani asubuhi nilivyoamka kushika nakuta pumbu moja nyingine imepotea nilipanik balaa moyo ukawa unaenda mbio.

Nikaisaka kumbe imeenda ikajificha kwa nyuma karibu na tigo. Nikaisogeza hadi ikatulia nakurudi kimiani. Sasa cha ajab sasa hivi inaniwasha balaa. Hii inaashiria nini pumbu kuwasha namna hii?

Au nataka kupiga na kukamata hela ndefu nini?
 
Hivi na nyie imeshawahi kuwatokea. Yani asubuhi nilivyoamka kushika nakuta pumbu moja nyingine imepotea nilipanik balaa moyo ukawa unaenda mbio. Nikaisaka kumbe imeenda ikajificha kwa nyuma karibu na tigo. Nikaisogeza hadi ikatulia nakurudi kimiani. Sasa cha ajab sasa hivi inaniwasha balaa. Hii inaashiria nini pumbu kuwasha au nataka kupiga na kukamata hela ndefu nini?
Inataka kukatika hiyo mkuu
 
Inataka kukatika hiyo mkuu
Seriously yani morning nashika nakuta pumbu moja dah nyingine imeenda wapi? Nijawa najiuliza nilipanik. Naisaka wapi. Nikajisemea tu nimekwisha.

Ila kwenye last attempt ya kuisaka kitu kimesogea karibu natigo. Dah nilifurahije nikasema tu yeees gengtly nikakisogeza kimiani nakuikuambia tulia
 
Hivi na nyie imeshawahi kuwatokea? Yani asubuhi nilivyoamka kushika nakuta pumbu moja nyingine imepotea nilipanik balaa moyo ukawa unaenda mbio. Nikaisaka kumbe imeenda ikajificha kwa nyuma karibu na tigo. Nikaisogeza hadi ikatulia nakurudi kimiani. Sasa cha ajab sasa hivi inaniwasha balaa. Hii inaashiria nini pumbu kuwasha namna hii? Au nataka kupiga na kukamata hela ndefu nini?
Bado hujafanikiwa kutaka Kuuharibu huu Uzi wangu Kimijadala ili usijadiliwe na tujadili huu Uharo wako Uliouandika hapa sawa?

Mimi ndiyo MINOCYCLINE Mwamba!!!!!
 
Seriously yani morning nashika nakuta pumbu moja dah nyingine imeenda wapi? Nijawa najiuliza nilipanik. Naisaka wapi. Nikajisemea tu nimekwisha. Ila kwenye last attempt ya kuisaka kitu kimesogea karibu natigo. Dah nilifurahije nikasema tu yeees gengtly nikakisogeza kimiani nakuikuambia tulia
Haya mnaopenda Mashoga Kazi Kwenu.
 
Bado hujafanikiwa kutaka Kuuharibu huu Uzi wangu Kimijadala ili usijadiliwe na tujadili huu Uharo wako Uliouandika hapa sawa?

Mimi ndiyo MINOCYCLINE Mwamba!!!!!
Unanionea tu bure. Nauliza tu kiroho safi kuwashwa huku na pumbu inaashiria nini? Au ndio nataka kuaga umaskini?

Oh lord please 🙏 help me isiwe fangas iwe tu kiashirio cha utajiri.
 
Unanionea tu bure. Nauliza tu kiroho safi kuwashwa huku na pumbu inaashiria nini? Au ndio nataka kuaga umaskini?

Oh lord please 🙏 help me isiwe fangas iwe tu kiashirio cha utajiri.
Mpaka sasa hujapata tu Wateja wapenda Mashoga ili wamalizane nawe na Ukalale ili utuache wenye Akili tujadili Mambo muhimu ya Kitaifa?
 
Haya mnaopenda Mashoga Kazi Kwenu.
Licha ya pumbu kuwasha sometimes huwa najiuliza maajabu ya muumba tigo inawezaje kukata kimba bila kutumia makali vitu vyenye ncha kali?

Kumbuka Rinda ni butu. Its fakin amazing!
 
Sasa kama Wewe ni Shoga hizo Pumbu zako zitaacha kweli kuwa na hitilafu ya Kimfumo kama Umeme wa TANESCO?

Pumbavu.
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho haswa nilikuwa nang'ang'ania kuhangaika kutafuta.
 
CCM wanajua kuwa Wakisema Jambo Wao piga Ua litasambaa ( trend ) na Watanzania wote kama Kawaida yet tutalishupalia na haraka mno Kusahau mengine ya Msingi ya Kujadili kuhusu Tanzania yetu.

Wenye Akili tunajua kuwa Mzee Yusuf Makamba kwa Kujulikana Kwake kuwa ni Mropokaji, Mpenda Sifa na Mkurupukaji basi CCM ( kupitia Kitengo chzke Maalum chenye Wastaafu wengi kutoka TISS ) wangemuandaa Kimkakati kuja kufanya alichokifanya huku Media iliyowekwa Mfukoni mwa CCM na Serikali ikielekezwa cha Kuandika na kusukuma Agenda ya Mkutano Mkuu na tusahau ya Msingi.

Spinning iliyofanyika si ya Kitoto na imeshafanikiwa kwa 85% Masikioni na Akilini mwa Watanzania kwani sasa hatujadili tena Mgawo wa Umeme, Tozo, Gharama za Maisha Kupanda, Elimu Mbovu, Rushwa ( Ufisadi ) na Uonevu ( Unyanyasaji ) wa kila namna.

Mzee Makamba anaweza kuona / kujiona kuwa kapatia, Kumfurahisha Mwenyekiti wake Taifa ( CCM ) hivyo Kumsaidia Mwanae asitumbuliwe au hata akitumbuliwa apelekwe Kwingine ila kwa wenye Akili Kubwa tunajua amejiabisha, amekiaibisha Chama ( CCM ) na ameonyesha kuwa huenda CCM ya sasa ikawa na Majuha ( Fools ) wengi kulko ile CCM ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.
Mwamvita Kama mwamvita
 
Back
Top Bottom