Nasikia vifurushi vingi vimepanda bei, mwenzetu ulivyoenda huko tigo vifurushi bei gani?Seriously yani morning nashika nakuta pumbu moja dah nyingine imeenda wapi? Nijawa najiuliza nilipanik. Naisaka wapi. Nikajisemea tu nimekwisha. Ila kwenye last attempt ya kuisaka kitu kimesogea karibu natigo. Dah nilifurahije nikasema tu yeees gengtly nikakisogeza kimiani nakuikuambia tulia
Subutuuuuu, acha kufananisha Nguruwe pori na vitu visivyokua na maana!Mzee Makamba ni 🐖pori
Kuna watu mnaboa hapa duniani!Unanionea tu bure. Nauliza tu kiroho safi kuwashwa huku na pumbu inaashiria nini? Au ndio nataka kuaga umaskini?
Oh lord please 🙏 help me isiwe fangas iwe tu kiashirio cha utajiri.
Afadhali hi upuuzi umeandika Usk watu wengi wamelala
Nilikua najua hiki ktatokea mrengwa asingejibu ila ile kujibu tuu wote tukaama kwake kuja huku alikosea hapoTayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho haswa nilikuwa nang'ang'ania kuhangaika kutafuta.
Nilikua nahis ata uyu muandish Ni anakitu cha ziada so walipanga wakafanya Na wamefanikiwaCCM wanajua kuwa Wakisema Jambo Wao piga Ua litasambaa ( trend ) na Watanzania wote kama Kawaida yet tutalishupalia na haraka mno Kusahau mengine ya Msingi ya Kujadili kuhusu Tanzania yetu.
Wenye Akili tunajua kuwa Mzee Yusuf Makamba kwa Kujulikana Kwake kuwa ni Mropokaji, Mpenda Sifa na Mkurupukaji basi CCM (kupitia Kitengo chzke Maalum chenye Wastaafu wengi kutoka TISS ) wangemuandaa Kimkakati kuja kufanya alichokifanya huku Media iliyowekwa Mfukoni mwa CCM na Serikali ikielekezwa cha Kuandika na kusukuma Agenda ya Mkutano Mkuu na tusahau ya Msingi.
Spinning iliyofanyika si ya Kitoto na imeshafanikiwa kwa 85% Masikioni na Akilini mwa Watanzania kwani sasa hatujadili tena Mgawo wa Umeme, Tozo, Gharama za Maisha Kupanda, Elimu Mbovu, Rushwa ( Ufisadi ) na Uonevu ( Unyanyasaji ) wa kila namna.
Mzee Makamba anaweza kuona/ kujiona kuwa kapatia, Kumfurahisha Mwenyekiti wake Taifa ( CCM ) hivyo Kumsaidia Mwanae asitumbuliwe au hata akitumbuliwa apelekwe Kwingine ila kwa wenye Akili Kubwa tunajua amejiabisha, amekiaibisha Chama (CCM) na ameonyesha kuwa huenda CCM ya sasa ikawa na Majuha ( Fools ) wengi kulko ile CCM ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.
Hii nayo ni "spinning".Hivi na nyie imeshawahi kuwatokea? Yani asubuhi nilivyoamka kushika nakuta pumbu moja nyingine imepotea nilipanik balaa moyo ukawa unaenda mbio.
Nikaisaka kumbe imeenda ikajificha kwa nyuma karibu na tigo. Nikaisogeza hadi ikatulia nakurudi kimiani. Sasa cha ajab sasa hivi inaniwasha balaa. Hii inaashiria nini pumbu kuwasha namna hii?
Au nataka kupiga na kukamata hela ndefu nini?
wewe ni LIMBUZI kutoka tanga?Afadhali hi upuuzi umeandika Usk watu wengi wamelala
🤣🤣🤣Afadhali hi upuuzi umeandika Usk watu wengi wamelala
Mkuu anslysis ni misplaced.CCM wanajua kuwa Wakisema Jambo Wao piga Ua litasambaa ( trend ) na Watanzania wote kama Kawaida yet tutalishupalia na haraka mno Kusahau mengine ya Msingi ya Kujadili kuhusu Tanzania yetu.
Wenye Akili tunajua kuwa Mzee Yusuf Makamba kwa Kujulikana Kwake kuwa ni Mropokaji, Mpenda Sifa na Mkurupukaji basi CCM (kupitia Kitengo chzke Maalum chenye Wastaafu wengi kutoka TISS ) wangemuandaa Kimkakati kuja kufanya alichokifanya huku Media iliyowekwa Mfukoni mwa CCM na Serikali ikielekezwa cha Kuandika na kusukuma Agenda ya Mkutano Mkuu na tusahau ya Msingi.
Spinning iliyofanyika si ya Kitoto na imeshafanikiwa kwa 85% Masikioni na Akilini mwa Watanzania kwani sasa hatujadili tena Mgawo wa Umeme, Tozo, Gharama za Maisha Kupanda, Elimu Mbovu, Rushwa ( Ufisadi ) na Uonevu ( Unyanyasaji ) wa kila namna.
Mzee Makamba anaweza kuona/ kujiona kuwa kapatia, Kumfurahisha Mwenyekiti wake Taifa ( CCM ) hivyo Kumsaidia Mwanae asitumbuliwe au hata akitumbuliwa apelekwe Kwingine ila kwa wenye Akili Kubwa tunajua amejiabisha, amekiaibisha Chama (CCM) na ameonyesha kuwa huenda CCM ya sasa ikawa na Majuha ( Fools ) wengi kulko ile CCM ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.