Mnaodhani Rais Samia ataikomboa na kuleta maendeleo basi mnajidanganya mtakuja kuniprove siku moja

Mnaodhani Rais Samia ataikomboa na kuleta maendeleo basi mnajidanganya mtakuja kuniprove siku moja

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
 
Kweli wabongo ni ndumirakwil.Nakumbuka wakati JPM amefariki Kimsboy ulifurahi sana.Ukamsifia sana Samia.

Ukaweka picha ya Samia kwenye profile yako.Ukasema Sami anaupiga mwingi.Leo hii umemgeuka Tena?Au kwa kuwa Samia ni kiongozi anaependa picha na viongozi wa Ulaya Kama alivyosema Kagame?
 

Attachments

  • VID-20221218-WA0013.mp4
    5.2 MB
  • VID-20221218-WA0013.mp4
    5.2 MB
Kweli wabongo ni ndumirakwil.Nakumbuka wakati JPM amefariki Kimsboy ulifurahi sana.Ukamsifia sana Samia.Ukaweka picha ya Samia kwenye profile yako.Ukasema Sami anaupiga mwingi.Leo hii umemgeuka Tena?Au kwa kuwa Samia ni kiongoz anaependa picha na viongozi wa Ulaya Kama alivyosema Kagame?
Kwani ni wapi nilishawahi kumpenda mwendazake[emoji23] kwa lipi haswa

Samia kumuweka kwenye profile ilikua ni sahihi maana siku 100 za mwanzo.alificha makucha sahivi vipi??
 
- kwamba hana dhamira uko sahihi -100% ingawa mwanzoni kabisa wakati anapokea kijiti alikuwa nadhamira ila sasa ilipo potelea sijui.
-Kwenye hilo la kuto kuwa na team work uko sahihi 100% hajui nani rafiki na nani adui na sidhani kama anatahadhari nao
-Hilo la kwamba Sio mtendaji uko sahihi 100%
-kuto kukubalika uko sahihi kabisa 100% na kundi kubwa lina mkubali nilile linalo nufaika kutokana na uwepo wake madarakani.
 
- kwamba hana dhamira uko sahihi -100% ingawa mwanzoni kabisa wakati anapokea kijiti alikuwa nadhamira ila sasa ilipo potelea sijui.
-Kwenye hilo la kuto kuwa na team work uko sahihi 100% hajui nani rafiki na nani adui na sidhani kama anatahadhari nao
-Hilo la kwamba Sio mtendaji uko sahihi 100%
-kuto kukubalika uko sahihi kabisa 100% na kundi kubwa lina mkubali nilile linalo nufaika kutokana na uwepo wake madarakani.
Kabisa mkuu
 
Hawa 96% wasiomkubali kwanini wazidiwe maamuzi na 4% ya wanaomkubali mpaka hiyo 2030? au ni ng'ombe? Maana siku zote kundi la ng'ombe wengi hupelekwa machinjioni na binadamu wachache.
 
Mnaodhani ipo siku rais Samia ataleta maendeleo au kulikomboa hili taifa mtasubiri sana

Hata kama atashinda hadi 2030 urais bado hamna jipya atakalofanya nakuambia mtakuja kuukumbuka huu uzi amini nawaambia

Hakuna atakachokifanya nawaambia na hakuna atakachokifanya cha maana

Kwanza hana dhamira....pili sio mtendaji....Tatu hana team work ya kazi ni watu wa kujipimia, kusifia tu na cheap politics ndo waliomzunguka

Hana support ya watanzania wa kawaida, leo hii wanamkubali nchi nzima hata asilimia 4% hawafiki ukiachana na viongozi na makada ambao moyoni mwao ni mbali lakini wanajua wanamsifia tu siku ziende

Hakuna cha maana atakachokifanya huyu mheshimiwa zaidi tujiandae tu na misukosuko ya kila aina...
hueleweki akomboe nini, hii nchi imeshapata uhuru miaka 61 iliyopita. Maendeleo unamaanisha nini, au hujui maana ya maendeleo? Aje akujengee? We una lako jambo. Huoni miradi iliyosambaa nchi nzima? Km umetumwa waambie wameshindwa na walegee!
 
Kweli wabongo ni ndumirakwil.Nakumbuka wakati JPM amefariki Kimsboy ulifurahi sana.Ukamsifia sana Samia.Ukaweka picha ya Samia kwenye profile yako.Ukasema Sami anaupiga mwingi.Leo hii umemgeuka Tena?Au kwa kuwa Samia ni kiongoz anaependa picha na viongozi wa Ulaya Kama alivyosema Kagame?
Kumbe mkuu unakumbukumbu huyu jamaa Acha tu alijua Samia atabadilisha labda maisha yake ilikua mama anaupiga mwingi mwingi lo!
 
Tufundishe vizazi vyetu kuwa wezi soft touch bila shuruta.
watu wanaiba mabilioni huku wamemzunguka mama waki smile.
 
Kwani ni wapi nilishawahi kumpenda mwendazake[emoji23] kwa lipi haswa

Samia kumuweka kwenye profile ilikua ni sahihi maana siku 100 za mwanzo.alificha makucha sahivi vipi??

Unatupiga fiksi na tulikusoma sana humu.. 🤣🤣🤣🤣
 
Kweli wabongo ni ndumirakwil.Nakumbuka wakati JPM amefariki Kimsboy ulifurahi sana.Ukamsifia sana Samia.Ukaweka picha ya Samia kwenye profile yako.Ukasema Sami anaupiga mwingi.Leo hii umemgeuka Tena?Au kwa kuwa Samia ni kiongoz anaependa picha na viongozi wa Ulaya Kama alivyosema Kagame?
Kapishana na buyu la chakula cha nyuki, itakuwa!
 
Back
Top Bottom